gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 12,985
- 15,950
- Thread starter
- #21
Unajua maana ya amiri jeshi mkuu?..jeshi ni chombo cha dolaUnamaanisha jeshi huwa lipo upande wa wanasiasa?
Unajua maana ya amiri jeshi mkuu?..jeshi ni chombo cha dolaUnamaanisha jeshi huwa lipo upande wa wanasiasa?
Shangilieni muwezavyo lkn mjue hamko salama tena. Wote walifiwa hawatakipenda chama cha mapinduzi daima na watalipa kisasi kimyakimya ila kwa uhakika!Dola ilijua, ndiyo maana palikua na movement ya vyombo vya usalama,na wali-note raia nchi jirani wakiingia, ndiyo maana JF ilifungiwa, viongozi chadema walitiwa korokoroni,they knew,wakaandaa na strategy ya kukabili,mama akajiandikisha Dodoma
Palikua na maandamano mengi tu 1998-2005,Pemba 2001 waliandamana wakaua wengi,wakawa wakimbizi kenyakuwa la wawayak
ushawahi kujiuliza ni nani alietufikisha hapa mpka inafika hatua ya watu kuandamana ..? mtanzania ni rahisi kutoka na kuandaman tu..?
Ww poyoyo tulia serikali ni nani ...au hata hujui? kwa akili zako unadhani serikali ni kikundi cha hao unao watetea ... Kasome kwanza umejaza mavi kichwani na uchawaNyi wakosa adabu mtaendelea kuoneshwa serikali ni nini, nadhani mmeijua sasa..unahamasishwa na mdangaji yuko marekani,eti jeshi lipo na wananchi!
Msingefanya vurugu asingeuawa mtu,kwa nini mlichoma mwendokasi?..sheli, biashara za watu?Shangilieni muwezavyo lkn mjue hamko salama tena. Wote walifiwa hawatakipenda chama cha mapinduzi daima na watalipa kisasi kimyakimya ila kwa uhakika!
Huku watoto 2 wanafunzi na mmoja wa3 alikuwa anauza mayai akapigwa risasi!
kwaiyo watu wakiandamana ndk wauliwe...?Palikua na maandamano mengi tu 1998-2005,Pemba 2001 waliandamana wakaua wengi,wakawa wakimbizi kenya
Huwezi kusema hatumtaki rais halafu ufanye vurugu uachwe
Ungekua umesoma na kuelimika usingeuliza serikali ni nani.. ungekua na akili walau kidogo usingeuliza serikali ni naniWw poyoyo tulia serikali ni nani ...au hata hujui? kwa akili zako unadhani serikali ni kikundi cha hao unao watetea ... Kasome kwanza umejaza mavi kichwani na uchawa
Mwendokasi,mabasi yake,ofisi za tra, biashara za watu,viliungua kwa kusema hatumtaki rais?kwaiyo watu wakiandamana ndk wauliwe...?
na kusema raisi hatumtaji ni kosa la jinai siku hzi..?
Mwanzo kabisa ilipostiwa maiti ya mwandamanaji mapema kabisa hata hawajaanza kuchoma mwendo kasi! Baada ya kuuliwa huyo mtu basi wakaanza kuchoma.Msingefanya vurugu asingeuawa mtu,kwa nini mlichoma mwendokasi?..sheli, biashara za watu?
Acha maswali ya kitoto.Mbona wewe hujatekwa?
Anaye ogopa ni yule aliyeapishwa vichochoroni na wakati kashinda kwa 98%Gen z walikua hawajui serikali ni nini,walidhani wazee wao wajinga kuogopa serikali,sasa wameijua
..ni upumbavu kukimbizana na matokeo ukaacha chanzo cha tatizo, chanzo ni kupotea kwa amani, haki za raia, uporaji, wizi wa mali za umma, na kulazimisha kufanya uchaguzi ktk mazingira yaliyojaa kutoaminiana kati ya serikali, vyama na wapiga kura! kina maria shida yao nini wakati kila siku wanawakumbusha watawala kuchukua hatua kuepusha machafuko..tumia akili bwn usilete utetezi wa kijinga hapa!Mange, Maria na Sativa wafunguliwe kesi.
Ukihatarisha usalama wa nchi,utaingizwa wewe kwenye hatariWalioua wapandishwe vyeo na kupewa nishani za heshima sio?
Yule mzee ananiuma mpaka leo yule ni kama mzazi kwao kabisa kwa umri ule ila walichomfanyia ni masikitiko makubwa.Acha maswali ya kitoto.
Kwani mpaka nitekwe mimi ndo ukubali kweli utekaji?
Ali kibao kosa lake ni nini?
Unamdanganya nani, vurugu zimeanzia ubungo kimara,na polisi walikua watulivu pamoja na jeshi,saa nne sheli imechomwa shekilangoMwanzo kabisa ilipostiwa maiti ya mwandamanaji mapema kabisa hata hawajaanza kuchoma mwendo kasi! Baada ya kuuliwa huyo mtu basi wakaanza kuchoma.
Shilole ni fisadi, basement ni fisadi,billnass fisadi?..huyo fisadi huo ufisadi wake ulithibitisha vipi?..kuchoma Mali zake ndiyo sheria?..kama hufuati sheria kwa nini usishughulikiwe kihuni bila kufuata sheria?Kuchoma mali ya fisadi ni sahihi
Watu wakichoma ofisi za tra,watazamwe tu Ili wachome bank kuu, ofisi ya mkuu wa mkoa, hospital, ikulu,bandari..huo siyo uhujumu?Kuchoma mali ya Uma (kodi zetu) sio kigezo cha kuua watu wasikuwa na silaha. Kwa mmewafundisha kuja na silaha hata za kununua kwa njia ya magendo upo hapa utaelewa siku ilifika
Mtu kashinda kwa asilimia 98 lakini kaapishwa vichochoroni kama mwizi wa dagaa soko la tandika.Anaye ogopa ni yule aliyeapishwa vichochoroni na wakati kashinda kwa 98%
Kichochoro kina barabara 2x2!?..si mngeenda, mbona siyo mbaliAnaye ogopa ni yule aliyeapishwa vichochoroni na wakati kashinda kwa 98%