hakuna mtu ambae sio mnafki, ata wewe kuna sehem ni mnafki japo hatutaki kujua sana maisha ya mtu, unafki ni hulka ya binadam ndo maaana ni neno halisi
2) ushawahi kuona wap mwananchi anashindana na serikali? kiuhalisia unatakiwa uwe na heshima nayo ndo maaana Mwenyezi Mungu mwenyewe akasema HESHIMUNI MAMLAKA ILOPO JUU YENU
tatizo vijana mnafuata siasa za upepo na pia hamtaki kuambiwa ukwel, mnatumika na watu ambai hamjui dhumuni lao ni nn, serikali mkono wake ni mrefu yatakayotokea yapokee, uliyatafuta