Walioandaa maandamano wana nguvu kuliko walioandaa uchaguzi Mkuu

Walioandaa maandamano wana nguvu kuliko walioandaa uchaguzi Mkuu

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
24,899
Reaction score
44,848
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU

Huyu aliyekaa akawaza aitishe maandamano alicheza kama Eden hazard

Anaonekana atakauwa na nguvu sana ndani ya mfumo

Uchaguzi hauzungumziwi kinachozungumziwa ni maandamano

Tukimaliza kuchoma vituo vya kupigia kula tukutane barabarani

Asubuhi sana wanangu

LONDON BOY
 
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU

Huyu aliyekaa akawaza aitishe maandamano alicheza kama Eden hazard

Anaonekana atakauwa na nguvu sana ndani ya mfumo

Uchaguzi hauzungumziwi kinachozungumziwa ni maandamano

Tukimaliza kuchoma vituo vya kupigia kula tukutane barabarani

Asubuhi sana wanangu

LONDON BOY
Hatari sana
 
Serikali na Polisi wanazidi changanyikiwa na mwisho wa siku watakimbia vimvuli vyao
 
Kwenye mikutano Yate ya CCM hakuna ujumbe mwingine zaidi ya maandano Tu, kwakifupi CCM wameingia kwenye mfumo wao wenyewe bila kujua..
Viongozi wa mchongo wa dini nao wanaimba wimbo wa maandano kilasiku badala ya kuongea ishu za maendeleo

CCM hawajui waingilie njia gani ili wavuke
 
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU

Huyu aliyekaa akawaza aitishe maandamano alicheza kama Eden hazard

Anaonekana atakauwa na nguvu sana ndani ya mfumo

Uchaguzi hauzungumziwi kinachozungumziwa ni maandamano

Tukimaliza kuchoma vituo vya kupigia kula tukutane barabarani

Asubuhi sana wanangu

LONDON BOY
 

Attachments

  • 8E5B2295-019C-46A4-A19A-99BA88E17DCA.jpeg
    8E5B2295-019C-46A4-A19A-99BA88E17DCA.jpeg
    108.4 KB · Views: 24
  • 11DBB355-6C7D-4CA0-A7BE-A2C659FC5C18.jpeg
    11DBB355-6C7D-4CA0-A7BE-A2C659FC5C18.jpeg
    192.6 KB · Views: 36
Back
Top Bottom