Walinzi wa Rais kufuga vitambi imekaaje?

Walinzi wa Rais kufuga vitambi imekaaje?

Yaani hilo wazo la kujimini ati tuna amani ni kosa kubwa. Ulinzi upo vzr na mpangilio wake wanajitahidi japo ni too costful.

Wajitahidi na kupunguza ubonge. CR Ronaldo ana kila kitu na access ya misosi yote atakayo bt yuko fit kiumbile kuliko mabonge wetu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Christiano akistaafu soka mpe miezi6 tu utamkataa, atanenepa kama Rinaldo de Lima, saivi bado yupo fit kimazoezi anamalizia malizia kukwangua ukoko wa pesa za matajiri wa kibibi kizee cha Turin.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe mpuuzi mzururaji jaribu kusogea karibu uone moto wake sio wazembe kama u
Ulivyo wewe Na Tumbo lako kama Meneja WA beer
Hawana lolote wangekuwa wako smart wasingekuwa lundo kama siafu vile,....majitu yanajaa mpaka kanisani, wangekuwa wako smart wasingekuwa wengi kiasi hicho.
 
Write your reply...
kuna afande huku mtaani kwetu ana kitambi lakini yuko fiti balaaa
mi mwenyewe nilikuwa namdharau nikaja shuhudia show yake moja nikaelewa
 
Mkuu ni kweli wanaonekana ni wanene lakini unaweza ukawa mnene bado ukawa upo fit kimazoezi, kupata nafasi ya kuwa mlinzi wa Rais siyo jambo jepesi lazima uwe umekidhi vigezo husika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ilikuwa enzi za kale, cku hizi mjuano tu, Anko akiwa kule basi mtoto wa dada naye anatinga.

Unene sio issue, yaani ndo wengi wawe na vitambi kisa ati unaweza kuwa bonge ila upo fit? Hapana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sizani kama unaelewa protocol ya usalama sijaona kitambi apo nimeona mwili achanisha kitambi na mwili hivi mtu wa usalama aliyebobea katika kuangalia usalama wa Rais lazima awe komando ?

Lazima utofautishe kiasi Kati ya mtu anayehakikisha ulinzi wa Rais na mlinzi wa Rais , anayehakikisha ulinzi wa Rais maana yake yeye ni intelijensia anazuia tukio kabla halijatokea mostly na yupo na jopo kubwa la walinzi wa Rais wasioonekana na wanaoonekana.

Boadguard aliyepo nyuma ya Rais ndio komandoo yeye yupo tayari kwa lolote kupambana kuokoa maisha ya Rais .

Kwahiyo hatuwezi kuwahukumu kwa kuwa na vitambi kazi yao kubwa wanaofanya ndio maana unaona ni vigumu sana Rais kudhurika.
Acha uongo aliye nyuma ya rais sio comando
 
Wewe mpuuzi mzururaji jaribu kusogea karibu uone moto wake sio wazembe kama u
Ulivyo wewe Na Tumbo lako kama Meneja WA beer
Hivi kila mtu naona anasema 'sogea uone' mara mshike bega, this is fvcking nonsense to talk.
Mtoa mada kaongea point sema hao jamaa wanajilema especial yule aliyekuwepo kwenye kampen kawa mnene.

Check walinz wa Kagame uone raia walivyo flexible.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpe heshima yake yote "luteni kanali " usiishie tu kusema luteni..
Hao wa chini sio lazima wawe makomandoo, huenda ni kozi za uluteni Usu tu! Hilo zoezi la mwishoni kuvuka kwa kamba hata JKT tulipiga sana tu hata skauti tulipiga.

Kwa pic sikuweka picha yoyote ya walinzi wa leo, ila wenye vitambi wapo kibao tu. Hiyo pic ni old kidogo as hata yule Luteni wa zamani alikuwa bado anamlinda mkuu. Hapo waanalyse hao wawili wenye suti, muache Gambo as sio mlinzi!

Ulinzi huendana na fitness, unene unapunguza ufanisi wa flexibility (japo wapo wanene baadhi wako fit)

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawana lolote wangekuwa wako smart wasingekuwa lundo kama siafu vile,....majitu yanajaa mpaka kanisani, wangekuwa wako smart wasingekuwa wengi kiasi hicho.
Wewe mpuuzi kweli nenda kacheze mziki
 
Yote kwa yote vitambi hata havipendezei. Kitambi ni dalili ya mwili kukosa mazoezi, flexibility na nk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom