Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 22,372
- 28,045
Kawaida Yake akilewa anapoteza network.Mbowe mwongo,hakuna walinzi walitekwa anadanganya umma
Kawaida Yake akilewa anapoteza network.Mbowe mwongo,hakuna walinzi walitekwa anadanganya umma
[emoji769]Siku akitekwa mkeo au mtoto wako Ndio akili itakuka sawa, alafu akachukuliwa video kama za yule Porn Star [emoji93]. Ndio Akili itakukaaa SawaHizi raids nyingine japo zinaripotiwa kama raids, kuna nyingine sometimes sio raids bali ni kiki na tactics!. Tuliona kwenye lile shambulio la kuvunjwa mguu, tuliona kwenye lile tukio la moto ofisi za Chadema Arusha, hivyo kutokana na hali tete ya mtu kuchagulika au kutochagulika, anything can happen, this time it might be true ni thugs, it might be ni wanausalama wetu, and it might be ni kiki tuu!.
Kwenye hili la Mhe. Mbowe, kanuni ya hadithi ya mtoto na mbwa mwitu kwenye hadithi za Esopo na hadithi za Wayunani, applies, kwa vile it has happened once, it might happen again.
P
Mgombea Ubunge Jimbo la Hai, ambaye pia ni mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe ametahadharisha kuwa maisha yake yako hatarini
Amesema majira ya saa nane na nusu usiku wahuni walikuja na silaha nzito nzito waliizuia Hotel yao na kuwateka walinzi wake wawili
Mbowe anasema anaamini watu hao waliowateka walinzi wake wanalindwa na mamlaka
Sababu ya tabia ya mbowe ya uongo uongo, inaweza kuwa ni kweli walinzi walitekwa au ndo mwendelezo wa katabia kake.Hizi raids nyingine japo zinaripotiwa kama raids, kuna nyingine sometimes sio raids bali ni kiki na tactics!. Tuliona kwenye lile shambulio la kuvunjwa mguu, tuliona kwenye lile tukio la moto ofisi za Chadema Arusha, hivyo kutokana na hali tete ya mtu kuchagulika au kutochagulika, anything can happen, this time it might be true ni thugs, it might be ni wanausalama wetu, and it might be ni kiki tuu!.
Kwenye hili la Mhe. Mbowe, kanuni ya hadithi ya mtoto na mbwa mwitu kwenye hadithi za Esopo na hadithi za Wayunani, applies, kwa vile it has happened once, it might happen again.
P
Mgombea Ubunge Jimbo la Hai, ambaye pia ni mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe ametahadharisha kuwa maisha yake yako hatarini
Amesema majira ya saa nane na nusu usiku wahuni walikuja na silaha nzito nzito waliizuia Hotel yao na kuwateka walinzi wake wawili
Mbowe anasema anaamini watu hao waliowateka walinzi wake wanalindwa na mamlaka
Mgombea Ubunge Jimbo la Hai, ambaye pia ni mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe ametahadharisha kuwa maisha yake yako hatarini
Amesema majira ya saa nane na nusu usiku wahuni walikuja na silaha nzito nzito waliizuia Hotel yao na kuwateka walinzi wake wawili
Mbowe anasema anaamini watu hao waliowateka walinzi wake wanalindwa na mamlaka
WEWE NJAA UMETAFUTA UTEUZI KWA MUDA MREFU BADO UNAENDELEA TU...KIBONDE NAE ALITAFUTAAA HADI KAENDA AHERA ILIKUWA BADO .....ANYWAY ENDELEA KU BET UNAWEZA BAHATISHAHizi raids nyingine japo zinaripotiwa kama raids, kuna nyingine sometimes sio raids bali ni kiki na tactics!. Tuliona kwenye lile shambulio la kuvunjwa mguu, tuliona kwenye lile tukio la moto ofisi za Chadema Arusha, hivyo kutokana na hali tete ya mtu kuchagulika au kutochagulika, anything can happen, this time it might be true ni thugs, it might be ni wanausalama wetu, and it might be ni kiki tuu!.
Kwenye hili la Mhe. Mbowe, kanuni ya hadithi ya mtoto na mbwa mwitu kwenye hadithi za Esopo na hadithi za Wayunani, applies, kwa vile it has happened once, it might happen again.
P
Ndio alijishambulia kwanini mlizi wake yuko salama mpaka Leo ,Chadema ni waongo ,Yule mwenyekiti wa Cdm Jana kang'olewa meno naye anajifanya ?!. Hujui machungu wanayopitia wapinzani. Hata Lissu mlidai amejishambulia mwenyewe [emoji107]
Yapo makitu yanayo endelea kumuaminigi Bwana yule!na hata hili wataliamini,wa Tanzania tunaonekanaga wajinga Sanaa,mlinzi wako atekwe ww uwe salama ilihali ww ndiyo mlengwa,pili ka Tweet saa nane na nusu usiku wakati tweeter haifanyi kazi,tatu hivi Kesha sahau alitudanganya kuwa kavamiwa na kupigwa na kuvunjwa mguu kumbe alikuwa ka gida Faru John,tangu kipindi kile mm simuamini Sana huyu bwanaMgombea Ubunge Jimbo la Hai, ambaye pia ni mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe ametahadharisha kuwa maisha yake yako hatarini
Amesema majira ya saa nane na nusu usiku wahuni walikuja na silaha nzito nzito waliizuia Hotel yao na kuwateka walinzi wake wawili
Mbowe anasema anaamini watu hao waliowateka walinzi wake wanalindwa na mamlaka
Unauliza swali lilitakiwa liulizwe na vyombo vya dola. Sasa kama kuna mtu ndani ya Cdm anaweza kufanya uhalifu huo mbona vyombo hivyo vya maamuzi havishughuliki naye ?! .Ndio alijishambulia kwanini mlizi wake yuko salama mpaka Leo ,Chadema ni waongo ,
Ipo siku ataomba kuzibuliwa...tunakoelekea kubaya.Huna akili we mzee, naumia sana kuona unaandika ujinga, eti inaweza kuwa kiki. Leo naamini wewe ndio ulimchongea Kabendera mwanzo sikuamini, mpaka jana nilipoona thread yako unaomba twitter ifungiwe Tz, nimekudharau sana.
Tangu lini watekaji wakajiteka?Vipi wa CCM hawawezi tekwa?
Unajibishana na kula kulala kwa shemejiUnauliza swali lilitakiwa liulizwe na vyombo vya dola. Sasa kama kuna mtu ndani ya Cdm anaweza kufanya uhalifu huo mbona vyombo hivyo vya maamuzi havishughuliki naye ?! .
Hivi popo ni mnyama au ni ndegeHizi raids nyingine japo zinaripotiwa kama raids, kuna nyingine sometimes sio raids bali ni kiki na tactics!. Tuliona kwenye lile shambulio la kuvunjwa mguu, tuliona kwenye lile tukio la moto ofisi za Chadema Arusha, hivyo kutokana na hali tete ya mtu kuchagulika au kutochagulika, anything can happen, this time it might be true ni thugs, it might be ni wanausalama wetu, and it might be ni kiki tuu!.
Kwenye hili la Mhe. Mbowe, kanuni ya hadithi ya mtoto na mbwa mwitu kwenye hadithi za Esopo na hadithi za Wayunani, applies, kwa vile it has happened once, it might happen again.
P
Wakati mwingine unatakiwa kuficha upumbavu kama jambo ulijui; waluipo kwenye inner cycle wanajua na wameamua kunyamaza.Hizi raids nyingine japo zinaripotiwa kama raids, kuna nyingine sometimes sio raids bali ni kiki na tactics!. Tuliona kwenye lile shambulio la kuvunjwa mguu, tuliona kwenye lile tukio la moto ofisi za Chadema Arusha, hivyo kutokana na hali tete ya mtu kuchagulika au kutochagulika, anything can happen, this time it might be true ni thugs, it might be ni wanausalama wetu, and it might be ni kiki tuu!.
Kwenye hili la Mhe. Mbowe, kanuni ya hadithi ya mtoto na mbwa mwitu kwenye hadithi za Esopo na hadithi za Wayunani, applies, kwa vile it has happened once, it might happen again.
P
Hujapita inteligence ndugu, haya mambo ni magumu. Endelea kushangaa tu!Walinzi wanatekwaje afu yeye anaelindwa akaachwa salama?