Kitandu Nkoru
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 899
- 983
Sisi sisiem kwani tunaogopa nini?wanyonge wanatukubali na ni wengi.
Siamini kama aliyeandika hapa ni P og. Si bure itakuwa kabadilisha ubongo wote na kupewa fake Dodoma. Naomba Gwajima na Gamanywa wamuombee yamkini akatoka kwa mawazo ya msukule.Hizi raids nyingine japo zinaripotiwa kama raids, kuna nyingine sometimes sio raids bali ni kiki na tactics!. Tuliona kwenye lile shambulio la kuvunjwa mguu, tuliona kwenye lile tukio la moto ofisi za Chadema Arusha, hivyo kutokana na hali tete ya mtu kuchagulika au kutochagulika, anything can happen, this time it might be true ni thugs, it might be ni wanausalama wetu, and it might be ni kiki tuu!.
Kwenye hili la Mhe. Mbowe, kanuni ya hadithi ya mtoto na mbwa mwitu kwenye hadithi za Esopo na hadithi za Wayunani, applies, kwa vile it has happened once, it might happen again.
P
Hivi akili umepeleka wapi bro .. dahHizi raids nyingine japo zinaripotiwa kama raids, kuna nyingine sometimes sio raids bali ni kiki na tactics!. Tuliona kwenye lile shambulio la kuvunjwa mguu, tuliona kwenye lile tukio la moto ofisi za Chadema Arusha, hivyo kutokana na hali tete ya mtu kuchagulika au kutochagulika, anything can happen, this time it might be true ni thugs, it might be ni wanausalama wetu, and it might be ni kiki tuu!.
Kwenye hili la Mhe. Mbowe, kanuni ya hadithi ya mtoto na mbwa mwitu kwenye hadithi za Esopo na hadithi za Wayunani, applies, kwa vile it has happened once, it might happen again.
P
Mgombea Ubunge Jimbo la Hai, ambaye pia ni mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe ametahadharisha kuwa maisha yake yako hatarini
Amesema majira ya saa nane na nusu usiku wahuni walikuja na silaha nzito nzito waliizuia Hotel yao na kuwateka walinzi wake wawili
Mbowe anasema anaamini watu hao waliowateka walinzi wake wanalindwa na mamlaka
Mgombea Ubunge Jimbo la Hai, ambaye pia ni mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe ametahadharisha kuwa maisha yake yako hatarini
Amesema majira ya saa nane na nusu usiku wahuni walikuja na silaha nzito nzito waliizuia Hotel yao na kuwateka walinzi wake wawili
Mbowe anasema anaamini watu hao waliowateka walinzi wake wanalindwa na mamlaka
Kwani yeye NI msimamizi wa uchaguzi? Hamjaweka mawakala kwenye vituo wasimamie kura zake?Duuh.. wanamsumbua ili asiweke umakini kwny uchaguzi, waibe kura
kama kuwa kada unakuwa na kichwa cha kuku basi miye marufuku ukada. This is too low nowadaysHizi raids nyingine japo zinaripotiwa kama raids, kuna nyingine sometimes sio raids bali ni kiki na tactics!. Tuliona kwenye lile shambulio la kuvunjwa mguu, tuliona kwenye lile tukio la moto ofisi za Chadema Arusha, hivyo kutokana na hali tete ya mtu kuchagulika au kutochagulika, anything can happen, this time it might be true ni thugs, it might be ni wanausalama wetu, and it might be ni kiki tuu!.
Kwenye hili la Mhe. Mbowe, kanuni ya hadithi ya mtoto na mbwa mwitu kwenye hadithi za Esopo na hadithi za Wayunani, applies, kwa vile it has happened once, it might happen again.
P
Pascal umevurugwa haswaaa. Kama nawe wamuunga mkono Sabaya kwa upuuzi anaoufanya huko Hai...sijui nikuweke kundi hilo hilo.Hizi raids nyingine japo zinaripotiwa kama raids, kuna nyingine sometimes sio raids bali ni kiki na tactics!. Tuliona kwenye lile shambulio la kuvunjwa mguu, tuliona kwenye lile tukio la moto ofisi za Chadema Arusha, hivyo kutokana na hali tete ya mtu kuchagulika au kutochagulika, anything can happen, this time it might be true ni thugs, it might be ni wanausalama wetu, and it might be ni kiki tuu!.
Kwenye hili la Mhe. Mbowe, kanuni ya hadithi ya mtoto na mbwa mwitu kwenye hadithi za Esopo na hadithi za Wayunani, applies, kwa vile it has happened once, it might happen again.
P
We kweli kiande ...au wahuni wanapita nn mbona mjinga hvyoHizi raids nyingine japo zinaripotiwa kama raids, kuna nyingine sometimes sio raids bali ni kiki na tactics!. Tuliona kwenye lile shambulio la kuvunjwa mguu, tuliona kwenye lile tukio la moto ofisi za Chadema Arusha, hivyo kutokana na hali tete ya mtu kuchagulika au kutochagulika, anything can happen, this time it might be true ni thugs, it might be ni wanausalama wetu, and it might be ni kiki tuu!.
Kwenye hili la Mhe. Mbowe, kanuni ya hadithi ya mtoto na mbwa mwitu kwenye hadithi za Esopo na hadithi za Wayunani, applies, kwa vile it has happened once, it might happen again.
P
Yes is national icon but if he looses election today, it is not that the election was riged, Wamachame wengi wao hawamtaki Mbowe.The end justifies the beginning. Destiny can not be reshaped. Mbowe remains a national icon.
Et Lumumba🤔? Hebu acha porojo, nenda kapige kura najua uko Tz.Mimi ni toka Lumumba...ila hili lirijamaa linaitwa kigogo limetupiga spana haswaa.
Nati zimekaza haswaa, hazifunguki kirahisi.
Wale jamaa wetu wanaujua mziki wake
Lumumba CCM, kura ni muhimuEt Lumumba🤔? Hebu acha porojo, nenda kapige kura najua uko Tz.
Kaandika kimombo ili Amsterdam asipate tabu ya kutafuta translatorMgombea Ubunge Jimbo la Hai, ambaye pia ni mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe ametahadharisha kuwa maisha yake yako hatarini
Amesema majira ya saa nane na nusu usiku wahuni walikuja na silaha nzito nzito waliizuia Hotel yao na kuwateka walinzi wake wawili
Mbowe anasema anaamini watu hao waliowateka walinzi wake wanalindwa na mamlaka
Ole sabaya Ni mpumbavu Sana na ameapa lazima ahikikishe mbowe kashindwa uchaguzi
Hujawahi kuwa na hoja yenye akili. Sijui shule mlienda kufanya nini!!!Mbowe anachekesha kweli eti "walinzi wake wenye silaha wametekwa" na "maisha yake yapo hatarini" anaendeleaje?