Walinzi wa Mbowe wadaiwa kutekwa

Walinzi wa Mbowe wadaiwa kutekwa

Tanzania ndio nchi pekee duniani wezi wanaweza kuvamia wakaiba mbwa halafu wakaaacha vitu vingine.
Hivi vimbwanga
 
Katika Jimbo la Hai suala la ulinzi wamejitahidi sana kwa ninavyo waona walivyo jipanga. Nipo Machame Post office. Sasa hivi naelekea tarafa ya Kalali, Sonu, Nkwarungo na Nkira. Nitaelezea yanayo endelea.
 
Hizi raids nyingine japo zinaripotiwa kama raids, kuna nyingine sometimes sio raids bali ni kiki na tactics!. Tuliona kwenye lile shambulio la kuvunjwa mguu, tuliona kwenye lile tukio la moto ofisi za Chadema Arusha, hivyo kutokana na hali tete ya mtu kuchagulika au kutochagulika, anything can happen, this time it might be true ni thugs, it might be ni wanausalama wetu, and it might be ni kiki tuu!.

Kwenye hili la Mhe. Mbowe, kanuni ya hadithi ya mtoto na mbwa mwitu kwenye hadithi za Esopo na hadithi za Wayunani, applies, kwa vile it has happened once, it might happen again.

P
Kujipendekeza utaacha lini
 
Mbowe Ndio mana wanasema Uenyekiti Muachie Lissu mana wewe ni kulia lia tu mda wote unalialia tuuu.... Na Ndio wakutoe umezidi kulia lia...Hivi Mlinzi una silaha unatekwaje??
 
Walinzi watekwa anaelindwa kabaki😀😀. Mbowe mzee gani unakuwa muongo muongo ivo?
 
Yamelewa konyagi yakadondoka kutoka kwenye gari la Mbowe, akayaacha, nashauri arudi njia aliyopita atayakuta tu mtaloni!
Untitled.jpg
 
Hizi raids nyingine japo zinaripotiwa kama raids, kuna nyingine sometimes sio raids bali ni kiki na tactics!. Tuliona kwenye lile shambulio la kuvunjwa mguu, tuliona kwenye lile tukio la moto ofisi za Chadema Arusha, hivyo kutokana na hali tete ya mtu kuchagulika au kutochagulika, anything can happen, this time it might be true ni thugs, it might be ni wanausalama wetu, and it might be ni kiki tuu!.

Kwenye hili la Mhe. Mbowe, kanuni ya hadithi ya mtoto na mbwa mwitu kwenye hadithi za Esopo na hadithi za Wayunani, applies, kwa vile it has happened once, it might happen again.

mpaka mtu auwawe ndio mtaamini...hata lisu kuna wanaoamini ilikua kiki..16bullet alafu upone? ...ubelgj alienda kisiasa wala si kutibiwa....😠😠😠😠
 
Mgombea Ubunge Jimbo la Hai, ambaye pia ni mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe ametahadharisha kuwa maisha yake yako hatarini

Amesema majira ya saa nane na nusu usiku wahuni walikuja na silaha nzito nzito waliizuia Hotel yao na kuwateka walinzi wake wawili

Mbowe anasema anaamini watu hao waliowateka walinzi wake wanalindwa na mamlaka



Kama kawaida ya Manyang'au wa CCM na harakati zao ovu!!
"Uchaguzi HURU na Haki" by NEC- (National Election Criminals)!!!!
 
Mgombea Ubunge Jimbo la Hai, ambaye pia ni mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe ametahadharisha kuwa maisha yake yako hatarini

Amesema majira ya saa nane na nusu usiku wahuni walikuja na silaha nzito nzito waliizuia Hotel yao na kuwateka walinzi wake wawili

Mbowe anasema anaamini watu hao waliowateka walinzi wake wanalindwa na mamlaka


Hivi kule Dodoma alipigwa kweli au aliteleza tu?
 
Ameshatoa taarifa polisi?
Hawezi toa taarifa polisi maana watataka kuchunguza nae hataki uchunguzi Wala majibu, unakumbuka alivyolalamika polisi walivyotaka kuchunguza alivyoporomoshwa na nyagi?
Mmawia kakimbia jukwaani baada ya mbelgiji kususiwa na viongozi wote wa saccos.
 
Back
Top Bottom