Walinzi wa Mbowe wadaiwa kutekwa

Walinzi wa Mbowe wadaiwa kutekwa

Hizi raids nyingine japo zinaripotiwa kama raids, kuna nyingine sometimes sio raids bali ni kiki na tactics!. Tuliona kwenye lile shambulio la kuvunjwa mguu, tuliona kwenye lile tukio la moto ofisi za Chadema Arusha, hivyo kutokana na hali tete ya mtu kuchagulika au kutochagulika, anything can happen, this time it might be true ni thugs, it might be ni wanausalama wetu, and it might be ni kiki tuu!.

Kwenye hili la Mhe. Mbowe, kanuni ya hadithi ya mtoto na mbwa mwitu kwenye hadithi za Esopo na hadithi za Wayunani, applies, kwa vile it has happened once, it might happen again.

P
Huwa naheshimu michango yako na pia kukutea wanapokutukana. Lakini kumbe wako right. Unaongea mipasho badala ya ku argue objectively. Pathetic!
 
Unatekaje mlinzi afu unamwacha anayelindwa huu ni uzwazwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Yule mwenyekiti wa Cdm Jana kang'olewa meno naye anajifanya ?!. Hujui machungu wanayopitia wapinzani. Hata Lissu mlidai amejishambulia mwenyewe [emoji107]
 
Hizi raids nyingine japo zinaripotiwa kama raids, kuna nyingine sometimes sio raids bali ni kiki na tactics!. Tuliona kwenye lile shambulio la kuvunjwa mguu, tuliona kwenye lile tukio la moto ofisi za Chadema Arusha, hivyo kutokana na hali tete ya mtu kuchagulika au kutochagulika, anything can happen, this time it might be true ni thugs, it might be ni wanausalama wetu, and it might be ni kiki tuu!.

Kwenye hili la Mhe. Mbowe, kanuni ya hadithi ya mtoto na mbwa mwitu kwenye hadithi za Esopo na hadithi za Wayunani, applies, kwa vile it has happened once, it might happen again.

P
Njaa +kura 0
 
Hizi raids nyingine japo zinaripotiwa kama raids, kuna nyingine sometimes sio raids bali ni kiki na tactics!. Tuliona kwenye lile shambulio la kuvunjwa mguu, tuliona kwenye lile tukio la moto ofisi za Chadema Arusha, hivyo kutokana na hali tete ya mtu kuchagulika au kutochagulika, anything can happen, this time it might be true ni thugs, it might be ni wanausalama wetu, and it might be ni kiki tuu!.

Kwenye hili la Mhe. Mbowe, kanuni ya hadithi ya mtoto na mbwa mwitu kwenye hadithi za Esopo na hadithi za Wayunani, applies, kwa vile it has happened once, it might happen again.

P
Wewe paschal umekuwa mtu mjinga kuliko wale wa Lumumba, pumbavu kabisa
 
Yaani Wewe ni Mlinzi halafu unatekwa pumbavu kabisa...Wajua mambo mengine muache kulia lia Mlinzi unatekwaje??? Where were you by the time wanakuteka??? Si na wewe ungejibu mapigo???
 
Mimi nipo Kyeeri, Machame Hai tuna fuatilia uchaguzi taratibu.Mtifuano kati ya Mbowe na Saasicha Mafue, wote wamepiga kampeni nzuri, na CCM mwaka huu naona wote wamekuwa wamoja.

Kura za Urais wote Kilimanjaro tunajua mwaka huu ila za Ubunge ndio tusubiri. Pakiwa na jipya nitahabarisha.
General Mangi unataka kuharibu siku yetuu
 
Huna akili we mzee, naumia sana kuona unaandika ujinga, eti inaweza kuwa kiki. Leo naamini wewe ndio ulimchongea Kabendera mwanzo sikuamini, mpaka jana nilipoona thread yako unaomba twitter ifungiwe Tz, nimekudharau sana.
Huyu mpumbavu tangu alipoitwa kuhojiwa bungeni amekuwa na mafunza kichwani
 
Cha kuchekesha nini sasa hapo, hao walinzi ulitaka wa-open fire ili mje na vichwa vya habari Mbowe ashambulia civilians?
Chakuchekesha ni kuwa iweje yeye mbowe anayedai maisha yake yapo hatarini asitekwe au kudhuliwa na hao watu ikiwa walinzi wake wamefanikiwa kutekwa?😃
 
Back
Top Bottom