Walimu waahidi makubwa - Lazima kitaeleweka

Walimu waahidi makubwa - Lazima kitaeleweka

mtoto wa mlalahoi ndiye anayedhurika at last! wakwao wanasoma kwenye ma-academy na ma international schools! au nje ya nchi kabisa! stupid president ever! thats kikwete!

Taratibu cacico. Huyu ni rais wetu kipenzi, Dr. Dr. Dr. Dr. Dr. Dr., mwanademokrasia, mtu wa watu, anajichanganya na wananchi wa matabaka yote, mwenye mvuto ndani na nje ya nchi na anayeshikilia rekodi ya kuchaguliwa kwa kura nyingi zaidi kuliko rais mwingine yeyote tangu kurudi kwa siasa za vyama vingi. Tumia lugha laini kidogo kama utamaduni wetu wa watanzania ulivyo.
 
Watafanikiwa kuwalazimisha walimu kwenda makazini lakini kamwe hawatoweza kuwalazimisha wafanye kazi.
 
mwalimu wa history,Binadamu wa kwanza alikuwa mbwa twende tuuu.....,vitayakwanza ya dunia ilipiganwa mwaka 2000 sawa tu hahahaha.......
 
mtoto wa mlalahoi ndiye
anayedhurika at last! wakwao wanasoma kwenye ma-academy na ma
international schools! au nje ya nchi kabisa! stupid president ever!
thats kikwete!

Nahavache.
 
Taratibu cacico. Huyu ni rais
wetu kipenzi, Dr. Dr. Dr. Dr. Dr. Dr., mwanademokrasia, mtu wa watu,
anajichanganya na wananchi wa matabaka yote, mwenye mvuto ndani na nje
ya nchi na anayeshikilia rekodi ya kuchaguliwa kwa kura nyingi zaidi
kuliko rais mwingine yeyote tangu kurudi kwa siasa za vyama vingi. Tumia
lugha laini kidogo kama utamaduni wetu wa watanzania ulivyo.

Na huu utamaduni ndio unatuponza,aah!
 
mtoto wa mlalahoi ndiye anayedhurika at last! wakwao wanasoma kwenye ma-academy na ma international schools! au nje ya nchi kabisa! stupid president ever! thats kikwete!

Taratibu cacico kuna mabwepande siku hizi na wakenya wanaongoa jino kwa plaiz
 
Last edited by a moderator:
Ndugu zangu walimu,kazi yenu ni kubwa mno,kama si ninyi hata sisi tunaochangia tusingeweza kuchangia.

Haki haupewi kama zawadi unaipigania.
Madai yenu yote yanawezekana,Kikwete amekuwa ni mtu asiye na utu ndiyo maana hawezi kufikiri.

Mwezi huu wabunge wamelipwa millioni kumi na moja,je wao wanapata mahitaji yao kwenye nchi tofauti na Tanzania?
Gharama za kuendesha ikulu tu zinaweza kutimiza mahitaji yenu yote,basi kama Kikwete ameona serikali haiwezi angeamua kufunga mkanda wa offisi yake na kuwapa haki yenu ya msingi.

Walimu hapa tulipofika mmetufikisha ninyi,kwani mmekuwa wadau wakubwa,hivyo kwangu huu ni mpango wa Mungu wakuwafungua macho muone wapi mlipo.
Songeni mbele mimi pia niko upande wenu.
 
Migogoro hii lazima iangaliwe na ishughulikiwe kwa haraka na kwa kutumia njia za majadiliano. Kumpotosha mwanafunzi kwa mmfundisha hisabati za uongo na masomo mengine ni kinyume na maadili ya taaluma ya ualimu. Ni mtu mjinga ndiyo atashabilia hili la walimu kfundisha ndivyo sivyo eti ni suluhisho! Kumbukeni, watakao umia ji watoto wa walala hoi, amabao hawatapata elimu hiyo bora. Wenzao wa hizi shule zetu za "English Media" aka Academia wanakula shule kama kawa.

Serikali lazima itilie maanani maslahi bora wa watumishi wa Public Sector, mbona yakija masuala ya kipuuzi pesa zinapatikana? Serikali isikimbilie ti kusema haina pesa ilihali sehemu nyingine pesa zinapelekwa. Hii serikali ni mzigo sana!
 
Watoto wa mbunge ismail aden rage wote wanasoma australia,kazi ipo kwa shule za kina kanumba
 
Serikali haijui tu! Mgomo baridi ndo mbaya zaidi ya huu wa uwazi!!!

Najua walimu watagoma kwa baridi, wanaenda shule halafu hawafundishi, au wanafundisha kama hivo!!!

Mwisho wa siku usiyeweza kumlipia mtoto wako, umekwisha. Sisi tuliochagua kubeba maboxi haaa tudema dema kiaina lakini mtoto anasoma si mbaya...
 
TWIZAMALLYA
Idara ya ukaguzi wa shule

Mkuu unazungumzia Idara ya Ukaguzi tena? Wako hoi tena afadhali na walimu! Kama ni mvutano hivi mi naona dawa ni kwa WOTE WAWILI, serikali na walimu wapewe kozi ya UZALENDO. Maana kitendo hicho ni kuua taifa. Taifa la WAJINGA ni muflis, "it is totally a DEAD nation"! Naomba tusifike huko. Mungu ibariki Tanzania.
 
Ingwawa hiyo Picha inaonekana kuwa na ujumbe muhimu kwa WATAWALA make hatuna VIONGOZI, lakini uupande wa pili wa shilingi ni watoto wa nani wanasoma katika hizo shule??????
 
Ndugu zangu walimu,kazi yenu ni kubwa mno,kama si ninyi hata sisi tunaochangia tusingeweza kuchangia.

Haki haupewi kama zawadi unaipigania.
Madai yenu yote yanawezekana,Kikwete amekuwa ni mtu asiye na utu ndiyo maana hawezi kufikiri.

Mwezi huu wabunge wamelipwa millioni kumi na moja,je wao wanapata mahitaji yao kwenye nchi tofauti na Tanzania?
Gharama za kuendesha ikulu tu zinaweza kutimiza mahitaji yenu yote,basi kama Kikwete ameona serikali haiwezi angeamua kufunga mkanda wa offisi yake na kuwapa haki yenu ya msingi.

Walimu hapa tulipofika mmetufikisha ninyi,kwani mmekuwa wadau wakubwa,hivyo kwangu huu ni mpango wa Mungu wakuwafungua macho muone wapi mlipo.
Songeni mbele mimi pia niko upande wenu.

Ni kweli kabisa na wakiamua wanaweza !
 
shostito msiri wangu msikilize kaka mkubwa Mr Rocky. Ila miye kweli sijenda jon nnimegoma bado i will be the last person kwenda aisee. let matters take their natural way to me.
gfsonwin na cacico punguzeni hasira
Hawa jamaa wanajiamulia tuu ila hawajui madhara yake ni yapi
Ila mwishoni watayaona kwenye matokeo mambo yatakavyokuwa ovyo
 
Last edited by a moderator:
Dawa ya waalimu ni mshahara tu,wakitishiwa kusitishiwa mishahara yao wananywea.Hapa kitakachofanyika ni kuimarisha Idara ya ukaguzi wa shule.

in red.... acha kuishi kwa mazoea wewe!!!!
waalimu wa jana sio wa leo zinduka jombaa......
walikuwa wanatumia hapo kwenye red, jiulize kwa nini safari hii mmekimbilia mahakamani???
 
Hivi Watanzania kwanini tunapenda ku isolate matatizo ya Taifa hili? Mgomo wa madaktari, mgomo wa Walimu na mengineyo bado haituhusu tu? Ni lini vita hii itakuwa ya sisi dhidi ya hao watawala na si ya Walimu dhidi ya Serikali au madaktari dhidi ya Serikali.....wameonyesha njia ya kupinga udhalimu tuko wapi watu wa Taifa hili kusimama nyuma yao?
 
Back
Top Bottom