EMMANUEL NSAMBI
JF-Expert Member
- Oct 25, 2011
- 402
- 83
Wote ni muhimu.Manake bila daktari labda huyo mwalimu asingezaliwa salama au hata baada yaDuh! Kali kweli kweli.Nzuri lakini,maana bila Mwalimu tusingekuwa na Rais,Wabunge,Wanasiasa,Madaktari,Wahasibu na Walimu wenyewe.Sasa sijui yupi muhimu,Daktari au Mwalimu?Nisaidieni
kuzaliwa angeugua na kufa.Sidhani kama kuna mtu anaweza kufikia umri wa kuwa mwalim ambaye
hajawahi ugua hata mara moja.