walimu wana ushawishi mkubwa sana katika jamii, hasira zenu mkizitumia kuwapa elimu ya uraia wanafunzi na jamii inayozunguka kuhusu udhaifu wa serikali ya ccm, hakika uchaguzi ujao utajaa tumaini jipya
tutapambana mpaka tone la mwisho. je hawajui walimu ni sawa na ngombe wa maziwa. ukimchukiza kidogo tu hupati maziwa. pole yao wanafunzi yaani wataishi kupata division iv na 0.
Mungu wangu 1+3=13????? na mbaya zaidi mtoto akiambiwa kitu na mwalimu huwezi kumbadilisha, hata kama nawewe ni mwalimu wa chuo kikuu. wewe utabakia kuwa baba au mama tuu na hatakuruhusu umpotoshe kile alichofundishwa na mwalimu wake darasani na akawekewa alama ya vema
Nzi na nyuki hufa kwa kulazimisha kupenya kwenye kioo angavu, ndivyo watakavyo kufa CCM kwenye mioyo ya walimu maana walimu wamekata tamaa kwa kiasi kikubwa halafu serikali inawalazimisha kumaliza mgomo kwa njia ya mahakama bila hata kueleza angalau wanaweza kuongeza au kulipa nini kwenye list ya madai ya walimu.
Hatua yoyote watakao chukua iwe kuamua kufelisha wanafunzi, au kuendeleza mgomo kama jinsi wanavyo fanya, matokeo yake yatakuwa ni janga kwa taifa.
Tusubir tuone na kipimo chetu kiwe mitihani ya kidato cha pili inayo tarajiwa kufanyika miezi miwili ijayo.
Duh! Kali kweli kweli.Nzuri lakini,maana bila Mwalimu tusingekuwa na Rais,Wabunge,Wanasiasa,Madaktari,Wahasibu na Walimu wenyewe.Sasa sijui yupi muhimu,Daktari au Mwalimu?Nisaidieni
mtoto wa mlalahoi ndiye anayedhurika at last! wakwao wanasoma kwenye ma-academy na ma international schools! au nje ya nchi kabisa! stupid president ever! thats kikwete!
mtoto wa mlalahoi ndiye anayedhurika at last! wakwao wanasoma kwenye ma-academy na ma international schools! au nje ya nchi kabisa! stupid president ever! thats kikwete!
shostito msiri wangu msikilize kaka mkubwa Mr Rocky. Ila miye kweli sijenda jon nnimegoma bado i will be the last person kwenda aisee. let matters take their natural way to me.
ha ha ha ha .....
hiyo ni hisabati....
sipati picha ticha wa geography atakavyokuwa anafundisha "nchi ya Tanzania iko barani Msumbiji, upande wa kaskazini imepakana na Marekani upande wa kusini imepakana na Ivory Cost..........na mengi tu yanayofanana na hayo"
Kazi ipo..........
Kwa kweli hiyo picha inafundisha mengi, kama kweli waalimu watafundisha namna hiyo basi hatuna wasomi tena huko mbele. Lakini nimeipenda kwa sababu inawapa hawa watawala onyo kwamba ni kitu gani mwalimu anaweza kufanya, kama wataelewa natumaini watachukua hatua stahiki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.