EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
Mkuu kama hujui akipanda daraja moja increment zinafutika.Aliyekuzidi sasa hivi hata salary ya miezi 6 ya mwisho atakuzidi labda uje umpite miezi ya kufanya kazi
Kama Mtumishi akimaliza masters anapewa 2 increments akipanda zinafutika pia