EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
Kama hakuna ngojea uone kama utapandishwa vidato vi3 kama first entrantsKwenye swala la mshahara hakuna kitu kama hicho.
Kama hakuna ngojea uone kama utapandishwa vidato vi3 kama first entrantsKwenye swala la mshahara hakuna kitu kama hicho.
Wana vunja taratibu kwa makusudiKama hakuna ngojea uone kama utapandishwa vidato vi3 kama first entrants
Kwaio mtu analalamikia 30,000? DuuuhNgoja nikueleweshe kwa lugha nyepesi.
Kwa ufupi tu mwalimu wa science ajira mpya mwenye degree anamzidi mwalimu wa science aliyeanza kazi 2014 kwa Tsh 30,000/=
Hiyo ndio tafauti ya D1 na D3
Kwani nchi hii ina uongozi?.. ina utopolo tu!.. KUANZIA Rais wao hadi madiwani wanabwabwaja tu ili waonekane kwa TV!.. soo stupid!.
Kwaio mtu analalamikia 30,000? Duuuh
UNATAKA nisibitishe?.. au UNATAKA nini?.. USINITISHEUkiitwa kuthibitisha kwa hichi ulichoandika utaweza ? Tafakari ndugu.
Watu tunatumikia cheo kimoja miaka 7?. ilihali utaratibu upo wazi miaka 3!.. halafu nidiriki kusema tuna viongozi?.. UTOPOLO KABISA ,,mitano mingi tusomeni tu AlbadiriUkiitwa kuthibitisha kwa hichi ulichoandika utaweza ? Tafakari ndugu.
halafu iwaje akitafakariUkiitwa kuthibitisha kwa hichi ulichoandika utaweza ? Tafakari ndugu.
Hahahaha sasa kilo 15 za mchele unalalamikia nini mkuu...lakini yote ni maisha ikiwekwa kunako mshahara ibapigwa panga la kodi unakuta ongezeko ni 8000 tshMchele kilo 15 usisahau hilo
Kwenda kufanya yenu kwenye chaguzi...Privilege kama zipi?
Mnakosea sana, sio walimu wote ni CCM wako walimu wengi tu ni Chadema, Act na wengine hawana vyama kabisa.Kwenda kufanya yenu kwenye chaguzi...
Check nao?Mshahara ni makubaliano kati ya mwajiri na mwajiriwa.Kama unaona mshahara hautoshi unaenda Private kutafuta maslahi kisha tunakukamata na kuifungia hadi hio shule ya PrivateAjira mpya wenye shahada kwa walimu wa science wameanza na ngazi ya mshahara wa TGTS D3.
Wakati wale walio kazini tangia mwaka 2014 bado wako ngazi ya mshahara TGTS D1. Kwenye utumishi kwa kawaida mwenye uzoefu anatakiwa awe ngazi ya juu kuliko mgeni ila hii ya sasa hivi imekuwa pindua pindua.
Utumishi kuna shida gani?
nani kapandishwa daraja?Mkuu! First In Last Out.
Watu wamenza kupandishwa Madaraja.
Utanielewa tu.
Wilaya gani hiyo madaraja yameanza mkuuMkuu! First In Last Out.
Watu wamenza kupandishwa Madaraja.
Utanielewa tu.
Hajui kwamba ukiongezewa 10000 tu ni very significant kwenye mshaharaMchele kilo 15 usisahau hilo
Ndio hivyoWana vunja taratibu kwa makusudi
Faida yake ipo kwenye kikotoo utaona tofauti ya 30,000/= anakupiga gap la milioni hata 15 kwenye pension.Hajui kwamba ukiongezewa 10000 tu no very significant kwenye mshahara
Kwenye post hapo uzi unasema walimu wapya Wana mishahara mikubwa kuliko waliowakuta kazini Mkulungwa...Wilaya gani hiyo madaraja yameanza mkuu
Hata ukiacha kikokotoo, ukiongezewa 10000 inakuwa imekusaidia parefu sana.Faida yake ipo kwenye kikotoo utaona tofauti ya 30,000/= anakupiga gap la milioni hata 15 kwenye pension.