Nzowa Godat
JF-Expert Member
- Jun 15, 2011
- 2,783
- 819
Sidhani kama anawaonea ni wivu nafikiri anasisitiza sheria za ajira ziendelee kufuatwa kwamba watumishi wote sio walimu peke yao wapewe nyongeza zao za mishahara kwa mwaka kama ilivyo kwenye mikataba yao ya ajira, ambazo ndizo zingeweza kuwahamisha hao walimu kutoka D1 ya mwaka 2014 hadi D7 leo hii (kama D7 ipo)Nyinyi uzoefu wenu upo katika kuisaidia CCM kuiba kura wakati wa uchaguzi tu, So if you are not happy with salary you are getting, employ yourself or go to HELL and present this nonsensical claims. Mwalimu gani unawaonea wivu wa kishamba wenzio!!!