Walimu saba wanaishi nyumba moja ya vyumba vitatu

Walimu saba wanaishi nyumba moja ya vyumba vitatu

Wastani watu wawili wawili sioni shida.

Desperate times calls for desperate measures.
 
Najua Wana tombana sana humo ndani ili kujifariji na Mitano tena
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hapo show inapigwa afu wanazuga kuwa et ni kero .m.c wahame ... kilimanjaro ni Moja mikoa ambayo gharama za kupanga ni very cheap .. chumba Hadi 20k unapata. ...na maswala ya udalali hayajachanganya kiivo
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hapo show inapigwa afu wanazuga kuwa et ni kero .m.c wahame ... kilimanjaro ni Moja mikoa ambayo gharama za kupanga ni very cheap .. chumba Hadi 20k unapata. ...na maswala ya udalali hayajachanganya kiivo
Acheni matusi humu. Nyie vipi?
 
Wameamua wenyewe.Maana ujinga wa mtu huanzia ndani mwake.

Napenda kuwa huru na kuishi sehemu ambayo Haina msongamano na watu...

Sasa hao walimu kwa Nini wapo tofauti... Wameshindwa hata kupanga waache kuishi kigeto geto.. Au ndio hao walimu wa ajira mpya
 
School Name : Mikocheni

Ward Name : Arusha

District Name : Moshi.

Hawa jamaa wanaishi Mikoa mitatu ndani ya mkoa mmoja, Awesome.
Moshi Walimu saba wa Shule ya Msingi Mikocheni iliyopo kata ya Arusha chini Wilaya Moshi mkoani Kilimanjaro wanaishi katika nyumba moja yenye vyumba vitatu.

Walimu hao ambao wanawake ni wanne na wanaume watatu wameeleza hayo leo Jumatano Januari 20, 2021.
 
Wanawake wanne na wanaume watatu.

Hiyo sasa itakuwa zero grazing.
 
Kuna msela anatamani kuwa moja ya walimu watatu wa kiume wanaoshi hilo getto[emoji23][emoji23]
 
2656533.jpg
 
Moshi Walimu saba wa Shule ya Msingi Mikocheni iliyopo kata ya Arusha chini Wilaya Moshi mkoani Kilimanjaro wanaishi katika nyumba moja yenye vyumba vitatu.

Walimu hao ambao wanawake ni wanne na wanaume watatu wameeleza hayo leo Jumatano Januari 20, 2021.
Ni sawa pengine wanatumia kama geto tu la kubadilisha nguo na kipiga mademu bas
 
Back
Top Bottom