Baba mtakatifu91 JF-Expert Member Joined Apr 25, 2026 Posts 4,042 Reaction score 8,448 Sep 1, 2026 #21 Na mtaala ubadilishwe uwe vitendo zaidi na siyo maneno matupu yaliyojificha nyuma ya competency based curriculum
Na mtaala ubadilishwe uwe vitendo zaidi na siyo maneno matupu yaliyojificha nyuma ya competency based curriculum
Moisemusajiografii JF-Expert Member Joined Nov 3, 2013 Posts 54,336 Reaction score 101,448 Sep 1, 2026 #22 allow cp said: Mzee enzi zetu hiyo mitihani tulikuwa tunaitafuta, na tulikuwa tuna wish kila wiki tupige, shule vs shule, yaani mtu unakaa unajiuliza wiki hii wapi kuna paper . sema pia nje ya hilo ndio tulikuwa tunapatiaga na mademu 🤣🤣🤣 Click to expand... Nyakati zimebadilika.Waende na wakati.Too much is April!
allow cp said: Mzee enzi zetu hiyo mitihani tulikuwa tunaitafuta, na tulikuwa tuna wish kila wiki tupige, shule vs shule, yaani mtu unakaa unajiuliza wiki hii wapi kuna paper . sema pia nje ya hilo ndio tulikuwa tunapatiaga na mademu 🤣🤣🤣 Click to expand... Nyakati zimebadilika.Waende na wakati.Too much is April!
allow cp JF-Expert Member Joined Aug 15, 2026 Posts 729 Reaction score 2,312 Sep 1, 2026 #23 Moisemusajiografii said: Nyakati zimebadilika.Waende na wakati.Too much is April! Click to expand... Ndio ccm kuna mtaala wa uchawa, nimepeleka watoto wangu wote wakawe ma Pro wa uchawa, wapate hela wakule mashangazi 🥹🥹
Moisemusajiografii said: Nyakati zimebadilika.Waende na wakati.Too much is April! Click to expand... Ndio ccm kuna mtaala wa uchawa, nimepeleka watoto wangu wote wakawe ma Pro wa uchawa, wapate hela wakule mashangazi 🥹🥹
Moisemusajiografii JF-Expert Member Joined Nov 3, 2013 Posts 54,336 Reaction score 101,448 Sep 1, 2026 #24 allow cp said: Ndio ccm kuna mtaala wa uchawa, nimepeleka watoto wangu wote wakawe ma Pro wa uchawa, wapate hela wakule mashangazi 🥹🥹 Click to expand... Hiyo mishangazi ina magonjwa sugu ya hatari waliyogawiwa kwenye mikesha ya mwenge.Watoto wako wajitunze.
allow cp said: Ndio ccm kuna mtaala wa uchawa, nimepeleka watoto wangu wote wakawe ma Pro wa uchawa, wapate hela wakule mashangazi 🥹🥹 Click to expand... Hiyo mishangazi ina magonjwa sugu ya hatari waliyogawiwa kwenye mikesha ya mwenge.Watoto wako wajitunze.
allow cp JF-Expert Member Joined Aug 15, 2026 Posts 729 Reaction score 2,312 Sep 1, 2026 #25 Moisemusajiografii said: Hiyo mishangazi ina magonjwa sugu ya hatari waliyogawiwa kwenye mikesha ya mwenge.Watoto wako wajitunze. Click to expand... hata wakifa hawana faida kwanza matoto yenye kila nikiyauliza yanasema role mode wao mwijaku na steve akeee 😬😬
Moisemusajiografii said: Hiyo mishangazi ina magonjwa sugu ya hatari waliyogawiwa kwenye mikesha ya mwenge.Watoto wako wajitunze. Click to expand... hata wakifa hawana faida kwanza matoto yenye kila nikiyauliza yanasema role mode wao mwijaku na steve akeee 😬😬
LOTH HEMA JF-Expert Member Joined Dec 6, 2015 Posts 29,006 Reaction score 45,801 Sep 1, 2026 #26 Watoto wenyewe ni vilaza watupu, bila spoon feeding hawatoboi
Moisemusajiografii JF-Expert Member Joined Nov 3, 2013 Posts 54,336 Reaction score 101,448 Sep 1, 2026 #27 allow cp said: hata wakifa hawana faida kwanza matoto yenye kila nikiyauliza yanasema role mode wao mwijaku na steve akeee 😬😬 Click to expand... Wakane.Iambie jamii hauwajui.
allow cp said: hata wakifa hawana faida kwanza matoto yenye kila nikiyauliza yanasema role mode wao mwijaku na steve akeee 😬😬 Click to expand... Wakane.Iambie jamii hauwajui.
Funny boe JF-Expert Member Joined Mar 26, 2023 Posts 3,471 Reaction score 7,767 Sep 1, 2026 #28 hatimaye na dukuduku la dada pipi limetufikia na huku. aisee, kila mtu atafikiwa kwa wakati wake
mkoba mweupe Senior Member Joined Feb 25, 2017 Posts 119 Reaction score 190 Sep 1, 2026 #29 Mwalimu wa tuisheni said: Acheni watoto wapewe mitihani ya kuwapima bana, ukute gharama ya mtihani haizidi 3000 , hembu ficheni umaskini wenu Click to expand... Walimu mna njaa sana punguzen vikoba vitawamaliza 🤣🤣
Mwalimu wa tuisheni said: Acheni watoto wapewe mitihani ya kuwapima bana, ukute gharama ya mtihani haizidi 3000 , hembu ficheni umaskini wenu Click to expand... Walimu mna njaa sana punguzen vikoba vitawamaliza 🤣🤣
allow cp JF-Expert Member Joined Aug 15, 2026 Posts 729 Reaction score 2,312 Sep 1, 2026 #30 Moisemusajiografii said: Wakane.Iambie jamii hauwajui. Click to expand... Naongea na mafwele afanya yake, umenipa wazo zuri 😅
Moisemusajiografii said: Wakane.Iambie jamii hauwajui. Click to expand... Naongea na mafwele afanya yake, umenipa wazo zuri 😅
Mwalimu wa tuisheni JF-Expert Member Joined Oct 19, 2019 Posts 8,507 Reaction score 15,083 Sep 1, 2026 #31 Moisemusajiografii said: Kila baada ya siku mbili.Na wikiendi ni lazima washurutishwe kwenda shuleni. Click to expand... Labda vichwa vyao vigumu
Moisemusajiografii said: Kila baada ya siku mbili.Na wikiendi ni lazima washurutishwe kwenda shuleni. Click to expand... Labda vichwa vyao vigumu
Moisemusajiografii JF-Expert Member Joined Nov 3, 2013 Posts 54,336 Reaction score 101,448 Sep 1, 2026 #32 Mwalimu wa tuisheni said: Labda vichwa vyao vigumu Click to expand... Si kweli.Huwa kuna kitu walimu wanakitaka.
Mwalimu wa tuisheni said: Labda vichwa vyao vigumu Click to expand... Si kweli.Huwa kuna kitu walimu wanakitaka.