Walimu Olympio wabuni mbinu mpya kupata pesa

Walimu Olympio wabuni mbinu mpya kupata pesa

Kazi ya ziada ya mwanao lazima alipie kama huduma zingine yaani unataka Mwalimu ajipe majukumu ya ziada bure waoneeni huruma mishahara yenyewe wanayo midogo ukishindwa St flani zipo kibao atapewa homeworks mpaka atasanda mwenyewe.
 
nyie waalimu wa UPE ni shida sana
Watu wana tafsiri sisisi ya UPE. Ila ukiambiwa maana yake sio ile ambayo wanaisema na infact watanzania wote wa lio ni output ya Universal Primary Education (UPE)
 
Sasa hizo copy paper na ink mwalimu atatoa wapi. Maana kuna mgao wa kishule tu na sio mwalimu. Kwa pesa ya Magu home work ni moja kwa kila miezi 6. Mwalimu anajitolea copy ya kwanza aliyoandika nyingine za mzazi.... Bongo tambarare...
 
Mtoto hapewi homework hadi mwalimu alipwe 10,000/-.

Mwanangu yuko darasa la tatu, tangu shule imefunguliwa hajapewa home work, nilipomuuliza why? akaniambia natakiwa kulipia hela.

Hakika Magufuli kazi anayo, akiziba huku wenzake wanafungua kule.
Acha umaskini wa mawazo,nani kakwambia umpeleke mtoto Olympio wakati kwako kigogo Sambusa?Waache wa kishua wasome hapa kwetu upanga,unavamia kwa washua alaf unaleta mambo ya uswahilini?Mimi ni mmoja ya wazazi tuliopendekeZa quiz kwa 10000/- ,Kama hutaki muwaishe mwanao nyumbani akaangalie kipindi cha muziki muziki na clouds tv ,tuachie sisi tulipe wasome "if you think education is expensive try ignorance!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom