Wazo la kabwela
JF-Expert Member
- Feb 13, 2013
- 1,883
- 1,465
No madaraja
No increments
No uhamisho
Ila .
Mfaulishe kwa zaid ya asilimia 90.
Mdhibiti utoro kwa asilimia 95.
Mkuze nidhamu kwa asilimia 95.
Pia.
Muandae notsi kwa asilimia 99
Muandae Lesson Plan kwa asilimia 100.
Muandae zana za kufundishia kwa asilimia 80.
Zingatia.
Kuwahi kazini saa kabla ya 1:30 asubuhi.
Mkae kituo cha kazi mpaka mwisho usitoroke.
Toa kazi kwa asilimia 100
Sahihi kazi zote kwa asilimia 100.
Msisahau .
T.O.D hakikisha umejaza kitabu cha Zamu.
Hakikisha shule safi.
Hakikisha hakuna anaetoroka.
Hakikisha unatoa adhabu kwa watoro na watukutu wote.
Kumbuka.
Bakola hata moja mtoto akizimia ,kuumia ama kufa utawajibishwa ipasavyo na jamhuri na wananchi watashangilia kuona unawajibishwa.
.walimu peponi panawahusu.
🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬
Sent using Jamii Forums mobile app
No increments
No uhamisho
Ila .
Mfaulishe kwa zaid ya asilimia 90.
Mdhibiti utoro kwa asilimia 95.
Mkuze nidhamu kwa asilimia 95.
Pia.
Muandae notsi kwa asilimia 99
Muandae Lesson Plan kwa asilimia 100.
Muandae zana za kufundishia kwa asilimia 80.
Zingatia.
Kuwahi kazini saa kabla ya 1:30 asubuhi.
Mkae kituo cha kazi mpaka mwisho usitoroke.
Toa kazi kwa asilimia 100
Sahihi kazi zote kwa asilimia 100.
Msisahau .
T.O.D hakikisha umejaza kitabu cha Zamu.
Hakikisha shule safi.
Hakikisha hakuna anaetoroka.
Hakikisha unatoa adhabu kwa watoro na watukutu wote.
Kumbuka.
Bakola hata moja mtoto akizimia ,kuumia ama kufa utawajibishwa ipasavyo na jamhuri na wananchi watashangilia kuona unawajibishwa.
.walimu peponi panawahusu.
🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬
Sent using Jamii Forums mobile app




troublemaker 2019. all right received.