Walimu karibu wote uwezo mdogo

Kwahiyo na walimu wako waliokufundisha walifeli?acha dharau usidharau kazi ya MTU,wanao watafundishwa na haohao walimu.acha mambo yako ya kipuuzi,mshukuru Mungu kwa kuwa familia yako ya kitajiri mpendwa.waombe radhi walimu wote,mungu hapendi dharau,bz kila MTU alipewa kipaji chake be carefully
 
Jaribu pia kufuatilia matokeo ya watu waliosoma ualimu kwa ngazi ya cheti na Diploma halafu linganisha na watu waliosoma ngazi hizo hizo uhasibu,afya,sheria,computer,civip engineering,marketing,biashara n.k uje na majibu hapa hapa...



ACHA KUDHARAU WALIMU WAKATI NDO WAMEKUFANYA UWEZE HATA KUANDIKA HAPA
Walimu mtoleeni radhi huyu kijana,
 
Naona waalimu mnatokwa povu jingi kusikia ukweli...wengi wenu mnajitetea nonsense kwani nimeweka vipengele vitatu
1) Matokeo mabovu
2) Ajira ya haraka
3) Uchumi wa familia
Lakini naona wengi mnatolea povu kwenye matokeo mabovu na ndio sababu nawacheka kwani siku zote ukweli unauma. Kama hukufeli na umekuwa mwalimu maana yake point ya kwanza haikuhusu sasa kwanini utokwe povu kwa jambo ambalo halikuhusu...ukweli utaendelea kudumu na uzuri kila mtu anajijua na vyeti vyake hapa mnapiga kelele tu sijui ulipata div 1 au 2 kujipooza lakini ukweli unaujua mwenyewe...
Hahahahha
Kijana wa PSPA acha kuwachachafya walimu wetu bana watakukosea radhi ugeuke chizi!!

Vp PS110 kawafundisha Dr Bruce Helman au ameshakufa yule jamaa?
 
Naona waalimu mnatokwa povu jingi kusikia ukweli...wengi wenu mnajitetea nonsense kwani nimeweka vipengele vitatu
1) Matokeo mabovu
2) Ajira ya haraka
3) Uchumi wa familia
Lakini naona wengi mnatolea povu kwenye matokeo mabovu na ndio sababu nawacheka kwani siku zote ukweli unauma. Kama hukufeli na umekuwa mwalimu maana yake point ya kwanza haikuhusu sasa kwanini utokwe povu kwa jambo ambalo halikuhusu...ukweli utaendelea kudumu na uzuri kila mtu anajijua na vyeti vyake hapa mnapiga kelele tu sijui ulipata div 1 au 2 kujipooza lakini ukweli unaujua mwenyewe...
Hahahahha
Hujielewi wewe, alafu unaweza kuta ni mbaba mzma ana familia na watoto lakini anaongea upuuzi mtupu hapa, sijui unawafundisha nini watoto wako! Haya sasa nimekubali mi nilifeli ndo maana ni mwalimu ili ufurahi
 
Walimu mtoleeni radhi huyu kijana,
Muache tu na dharau zake ataangukia pabaya sana. Hana shukrani hata kidogo, hata kukumbuka anaanza shule hajui kusoma na kuandika na mwalimu wake wa msingi alivyoangaika hadi akajua. Kwa akili hizi sidhani kama anaweza kukaa na mtoto akamfindisha kitu akaelewa.
 
MIMI sio mwalimu ila kuongea maneno kama hayo sawa na kumtukana mama ako mzazi... Amekuzaa amekuleaa umekuwaa unayafaham ya malimwengu sasa unamdharau unamwona mpumbavu....
 
Kwahiyo na walimu wako waliokufundisha walifeli?acha dharau usidharau kazi ya MTU,wanao watafundishwa na haohao walimu.acha mambo yako ya kipuuzi,mshukuru Mungu kwa kuwa familia yako ya kitajiri mpendwa.waombe radhi walimu wote,mungu hapendi dharau,bz kila MTU alipewa kipaji chake be carefully
Me nadhani huyu mdogo wetu hakueleweka vizuri, alichosema ni kwamba walio wengi wanasomea ualimu Kutokana na mambo matatu aliyoyataja,

Hivyo, Yawezekana kabisa mtu akawa na div I. 3 ya form six lakini akasomea ualimu si kwa sababu anapenda hiyo kazi bali anataka apate mkopo au ili apate ajira baada ya kuhitimu kwani anatoka kwenye familia ambayo hana watu wa kumshika mkono ili apate kazi BoT nk,

So me sijui kwanini mnapoteza muda na nguvu nyingi kulumbana!!

Hivi Kuna mtu mwenye div one, nyumbani pesa zipo za kumsomesha hata akikosa mkopo, ukoo wao mambo Safi kila idara Wapo na hivyo issue ya ajira kwake sio tatizo lakini akasomea ualimu?? Kama Wapo basi ni wachache mno na hao ni wazalendo wa dhati zaidi ya mwl Nyerere!

Heshima kwenu walimu wote, nyie ni watu muhimu sana, anaewadharau na alaaniwe!!!!!
 
Me nadhani huyu mdogo wetu hakueleweka vizuri, alichosema ni kwamba walio wengi wanasomea ualimu Kutokana na mambo matatu aliyoyataja,

Hivyo, Yawezekana kabisa mtu akawa na div I. 3 ya form six lakini akasomea ualimu si kwa sababu anapenda hiyo kazi bali anataka apate mkopo au ili apate ajira baada ya kuhitimu kwani anatoka kwenye familia ambayo hana watu wa kumshika mkono ili apate kazi BoT nk,

So me sijui kwanini mnapoteza muda na nguvu nyingi kulumbana!!

Hivi Kuna mtu mwenye div one, nyumbani pesa zipo za kumsomesha hata akikosa mkopo, ukoo wao mambo Safi kila idara Wapo na hivyo issue ya ajira kwake sio tatizo lakini akasomea ualimu?? Kama Wapo basi ni wachache mno na hao ni wazalendo wa dhati zaidi ya mwl Nyerere!

Heshima kwenu walimu wote, nyie ni watu muhimu sana, anaewadharau na alaaniwe!!!!!
Nashukuru Ndugu umefafanua vyema maana niliweka sababu kadhaa ila watu wamekomaa na point moja kana kwamba haipo kweli. Wengi sana wanaofeli wanakimbilia ualimu lakini sio wote wanaokuwa waalimu walifeli ndio maana nikaongelea swala la kupata mkopo na urahisi wa Ajira lakini watu wameyaweka pembeni na kukomaa na moja.
Kama wewe haukufeli na ukawa mwalimu maana yake point ya waliofeli inakuwa haikuhusu bali zinakuwa ni sababu zingine.
Asante kwa udadafuaji wako
 
Sio kweli naongea jambo kwa fact udsm education watu wenye three wapo wengi sana na rafiki zangu waliofeli kipindi hicho walisoma pale...ili uweze kuingia DUCE au chuo chochote ualimu kwa vyuo vikubwa kama UDSM, DUCE, MUCE n.k unatakiwa uwe na point kuanzia 5 sasa point tano ni divion ngapi??? Kama S=0.5, E=1, D=2, C=3, B=4, A=5 hivyo point tano maana yake ni D D E ambazo ni point 5 ila ni divion Three point 13...mpaka hapo kuna swali ndugu?!
POINT NI KWA MASOMO MAWILI AMBAYO AMEFAULU YAANI C AND D
 
Naona waalimu mnatokwa povu jingi kusikia ukweli...wengi wenu mnajitetea nonsense kwani nimeweka vipengele vitatu
1) Matokeo mabovu
2) Ajira ya haraka
3) Uchumi wa familia
Lakini naona wengi mnatolea povu kwenye matokeo mabovu na ndio sababu nawacheka kwani siku zote ukweli unauma. Kama hukufeli na umekuwa mwalimu maana yake point ya kwanza haikuhusu sasa kwanini utokwe povu kwa jambo ambalo halikuhusu...ukweli utaendelea kudumu na uzuri kila mtu anajijua na vyeti vyake hapa mnapiga kelele tu sijui ulipata div 1 au 2 kujipooza lakini ukweli unaujua mwenyewe...
Hahahahha
Narudia tena, una inferiority complex ambayo inakupelekea wewe kutafuta wengine wa kuwadharau ili ujifurahishe. Nadhani kuna mtu alikudharau kwa sababu ya masomo uliyosomea wewe nawe ukatafuta nani wa kumdharau. Think about it. Umefanya utafiti gani ukabaini kwamba ni walimu wangapi waliokwenda kwa kuwa wanaipenda kazi ya ualimu? Si mojawapo ya sababu hizo tatu ulizotoa. Kama ni hisia tu, basi fanya kwanza utafiti upate data jarabati. Msomi anayejitambua hawezi kulazimisha kitu kwa sababu tu anahisi hivyo na kwamba wazo lake hilo linamtekenya. Mimi nawajua watu wengi tu. Na kwa hakika mmoja ninamfahamu hakuchaguliwa kwenda ualimu ambao ndiyo ilikua uchaguzi wake wa kwanza. Akapelekwa kusomea fani nyingine, na baadae alitafuta njia ya kuingia kwenye ualimu hata hivyo.
Let me say this again and maybe, just maybe, your brain can wrap around the idea: Grow up! Your happiness cannot depend on you putting other people down. It is a childish demonstration of stupidity and insecurity, intellectual immaturity and an expression of extreme ingratitude.
 
Narudia tena, una inferiority complex ambayo inakupelekea wewe kutafuta wengine wa kuwadharau ili ujifurahishe. Nadhani kuna mtu alikudharau kwa sababu ya masomo uliyosomea wewe nawe ukatafuta nani wa kumdharau. Think about it. Umefanya utafiti gani ukabaini kwamba ni walimu wangapi waliokwenda kwa kuwa wanaipenda kazi ya ualimu? Si mojawapo ya sababu hizo tatu ulizotoa. Kama ni hisia tu, basi fanya kwanza utafiti upate data jarabati. Msomi anayejitambua hawezi kulazimisha kitu kwa sababu tu anahisi hivyo na kwamba wazo lake hilo linamtekenya. Mimi nawajua watu wengi tu. Na kwa hakika mmoja ninamfahamu hakuchaguliwa kwenda ualimu ambao ndiyo ilikua uchaguzi wake wa kwanza. Akapelekwa kusomea fani nyingine, na baadae alitafuta njia ya kuingia kwenye ualimu hata hivyo.
Let me say this again and maybe, just maybe, your brain can wrap around the idea: Grow up! Your happiness cannot depend on you putting other people down. It is a childish demonstration of stupidity and insecurity, intellectual immaturity and an expression of extreme ingratitude.
Wewe wasema...
 
Serikal iboreshe hii secta ya ualimu pa1 na kuongeza mishahara watu tutaenda kufundsha...nikweli kabisa mkuu ukifel form4 au 6 utaulizwa vip ualimu utapata? Yaan nikimbilio la waliofel wachache sana wanaenda kusomea ualimu kwa kupenda
 
Narudia tena, una inferiority complex ambayo inakupelekea wewe kutafuta wengine wa kuwadharau ili ujifurahishe. Nadhani kuna mtu alikudharau kwa sababu ya masomo uliyosomea wewe nawe ukatafuta nani wa kumdharau. Think about it. Umefanya utafiti gani ukabaini kwamba ni walimu wangapi waliokwenda kwa kuwa wanaipenda kazi ya ualimu? Si mojawapo ya sababu hizo tatu ulizotoa. Kama ni hisia tu, basi fanya kwanza utafiti upate data jarabati. Msomi anayejitambua hawezi kulazimisha kitu kwa sababu tu anahisi hivyo na kwamba wazo lake hilo linamtekenya. Mimi nawajua watu wengi tu. Na kwa hakika mmoja ninamfahamu hakuchaguliwa kwenda ualimu ambao ndiyo ilikua uchaguzi wake wa kwanza. Akapelekwa kusomea fani nyingine, na baadae alitafuta njia ya kuingia kwenye ualimu hata hivyo.
Let me say this again and maybe, just maybe, your brain can wrap around the idea: Grow up! Your happiness cannot depend on you putting other people down. It is a childish demonstration of stupidity and insecurity, intellectual immaturity and an expression of extreme ingratitude.
Tichaaaaa!! Naona amekutibua nyongo yako huyu kijana,
 
Serikal iboreshe hii secta ya ualimu pa1 na kuongeza mishahara watu tutaenda kufundsha...nikweli kabisa mkuu ukifel form4 au 6 utaulizwa vip ualimu utapata? Yaan nikimbilio la waliofel wachache sana wanaenda kusomea ualimu kwa kupenda
Inasemekana Wapo waliopata div I. 7 form IV, kwao hela zipo lakini kwa kupenda tu ualimu wakaenda Mtwara TTC kusomea ualimu daraja la IIIA na hivi sasa wanapiga zao kazi huko Namtumbo!!!!...

Kuna watu ni wazalendo kwa nchi yao acha kabisa!!
 
nina division one point 14 form four na nina two ya 12 comb CBG na leo ni mwl. Hapa unasemaje?

mwanfunzi wangu alipata three ya 15 leo ni Dr.Bingwa Wa watoto!

mtoa mada acha kutudhalilisha
 
Narudia tena, una inferiority complex ambayo inakupelekea wewe kutafuta wengine wa kuwadharau ili ujifurahishe. Nadhani kuna mtu alikudharau kwa sababu ya masomo uliyosomea wewe nawe ukatafuta nani wa kumdharau. Think about it. Umefanya utafiti gani ukabaini kwamba ni walimu wangapi waliokwenda kwa kuwa wanaipenda kazi ya ualimu? Si mojawapo ya sababu hizo tatu ulizotoa. Kama ni hisia tu, basi fanya kwanza utafiti upate data jarabati. Msomi anayejitambua hawezi kulazimisha kitu kwa sababu tu anahisi hivyo na kwamba wazo lake hilo linamtekenya. Mimi nawajua watu wengi tu. Na kwa hakika mmoja ninamfahamu hakuchaguliwa kwenda ualimu ambao ndiyo ilikua uchaguzi wake wa kwanza. Akapelekwa kusomea fani nyingine, na baadae alitafuta njia ya kuingia kwenye ualimu hata hivyo.
Let me say this again and maybe, just maybe, your brain can wrap around the idea: Grow up! Your happiness cannot depend on you putting other people down. It is a childish demonstration of stupidity and insecurity, intellectual immaturity and an expression of extreme ingratitude.
Ndio umeonesha kuwa wewe ni mwalimu au?
 
We ni sample ya watu wenye ufinyu wa kupembua maisha. Kwako wewe kufaulu ni kupata div.1 basi!? Rudi kafanye utafiti wanafunzi wengi waliokuwa vichwa darasani huwakosi namba moja hadi tatu na walipata one kali huishia kuwa walimu. Uwezo wa mtu darasani sio determinant ya future yake. Watu walio na position nzuri za ajira na tabaka la juu ni wale waliokuwa wanachechemea darasani au hata walitoka na div. 4. Hoja kubwa uliyotoa ni kwamba wengi wamesomea ualimu kwa sababu ya uwezo wao kiuchumi haukuwapa alternative ya kusomea fani nyingine nzuri. Huu ndio ukweli na si suala la uwezo kiakili.
Aisee umenena vyema kabisa.
 
Back
Top Bottom