Walimu karibu wote uwezo mdogo

kuna ukweli flani hapa na ndo mana walimu wengi hawapendi career zao asee na mazingira magum yanachangia
 
Fallacy!!! Utafiti fake umejikita katika Lusaka u maarufu. Kuna walimu kibao ufaulu wao unakutisha hata wewe,.Kuna sababu nyingi zinamfanya MTU akasome ualimu,1. Family background,hali mbaya ya umaskini na ambitions za kupata ajira mapema.
Sikuwa na shida ya kukujibu ila imenibidi.
Ndugu umekurupuka kwa kuponda nikadhani unaandika jambo jipya. Rudia Kusoma niluchokiandika kisha utaona huo utumbo uliouandika nimeuweka katika list...bila Shaka wewe ni mwalimu kwa namna ulivyokurupuka
 
Kuna Dogo yupo SUA alisoma EGM Olevel ana Div 1 ,pts 9 Advance ana Div 1pts 5 na anasoma bachelor ya Math and informatics kujua matokeo yake kulitokea mabishano kama haya akatoa vyeti mezani kila mtu akafyata mkia
 
Hivi mleta maada we shule aalikufundisha Mama yako na baba yako ukapata huo ufaulu ambao ulikufanya usisomee ualimu?
 
Sikuwa na shida ya kukujibu ila imenibidi.
Ndugu umekurupuka kwa kuponda nikadhani unaandika jambo jipya. Rudia Kusoma niluchokiandika kisha utaona huo utumbo uliouandika nimeuweka katika list...bila Shaka wewe ni mwalimu kwa namna ulivyokurupuka
Jamaa ulisoma PSPA?????
 
Tena wewe mwalimu wa shule ya msingi ndio sina hata haja ya kukupa fact zozote, kidogo waongee waalimu wa sekondari na A'level ila msingi nyie wengi hamkuwa na option kabisa zaidi ya matokeo mabovu ya kidato cha nne
Nashukuru sistahili ila ningeambiwa nije nifanye facilitation na wewe ndipo ungejihukumu mwenyewe na ingekuwa chanzo cha kuheshimu waliokufikisha hapo ulipo. Ndiyo maana hii nchi haiendelei kwa kuwa na wasomi makanjanja kama wewe. Ninaipenda kazi yangu ya ualimu wa shule ya msingi kwani ninajua nini ninaifanyia nchi yangu ili kuivusha kutoka hatua moja kwenda nyingine. The only thing you need is to change your mind and the way you think and judge things. Najua utaendelea kudharau ninayoyasema kwa vile yamesemwa na mwalimu wa shule ya msingi.
 
Tena wewe mwalimu wa shule ya msingi ndio sina hata haja ya kukupa fact zozote, kidogo waongee waalimu wa sekondari na A'level ila msingi nyie wengi hamkuwa na option kabisa zaidi ya matokeo mabovu ya kidato cha nne
fanya mpango tukutane ili nikuonyeshe vyeti vyangu ili ujue unaongea na mtu wa namna gani, usihukumu jambo usilolijua fikiri kabla ya kusema you need to have a critical mind
 
Okay kwa msaada tu O'level nilisoma Azania nikapata 1:12, A'level nikasoma Tambaza HGE nikapata 1:9
Utafiti kama umesoma kianzio cha mjadala utaelewa chanzo cha utafiti ilikuwaje...watu niliowalenga ni waalimu wa shule mbalimbali wakiwemo ndugu, jamaa na marafiki ambao nimekutana nao na kukua nao point walizozipata na walipokimbilia...niliainisha sababu zangu tatu nikiamini zipo nyingine nyingi tu ila zangu nilibase na
1) ufaulu hafifu
2) uhitaji wa ajira baada ya masomo
3) uwezo wa familia kusomeshwa hivyo kuhitaji mkopo
Nililenga katika vipengele hivyo vitatu na asilimia kubwa wakadondokea kwenye kipengele cha kwanza. Ingawa wapo ambao walifaulu na wakaenda ualimu ila percentage yake ni ndogo tofauti na wale waliokosa option. Nilifanya mchanganuo huo kwa zaidi ya waalimu 2,000 wa shule mbalimbali na kwakuwa haukuwa Utafiti wa kuniingizia hela ila kupima chanzo cha Utafiti kabla sijajiweka huko. Nimezunguka mikoa zaidi ya 15 kwasababu ya kazi ninayoufanya hivyo ninetembelea shule nyingi za vijijini na kujionea kwa macho yangu pasi kuambiwa na mtu. Kama unahisi nimeleta Uzi huu kwa lengo la kujifariji au kupondea fani za watu, nakupa pole sana kwakuwa ni mtazamo wako kama vile Mimi nilivyokuwa na mtazamo mpaka kuuleta huu Uzi na sijukurupuka...angalia entry qualifications za degree ualimu vyuo mbalimbali nchini utakubaliana namimi
NB: kuna vijana wawili walimaliza form six 2012 wakapata 3:17 yaani E E F na wakaapply chuo na kupata Josiah Kibira Kagera na Stefano Moshi Memorial Kilimanjaro na wakala na mkopo juu na mind you walikuwa Arts tena HGK... Hivyo basi uponde mpaka mdomo ukae kushoto nimeandika kile nilichokishuhudia na sio kuambiwa...
Asante
Hahaha kumbe haya ndiyo maelezo unayoyatumia kueleza hisia zako, huenda una hoja ya msingi ila maelezo yako yalikuwa yanashout sana,
Nieleze mimi mwalimu wa shule ya msingi utafiti wako ulihusu nini na unapatikanaje online ili niufuatilie nijiridhishe na ukisemacho.
 
Unajua kigezo cha ufaulu gani Kinahitajika kwa mtu kusomea degree ya ualimu chuo kikuu kama udsm ?? Ngoja nikusaidie usipende kukalili maisha hiyo fact yak ya kwanza haiko sawa mfano mzuri kwa udsm ili usomee ualim lazima uwe na division 1 ya point yoyote ile ,,, sasa unapokalili na kusema kusomea ualimu ni kwa waliofeli tengua kauli mkuu think critically
kukalili ndio nini mheshimiwa mwalimu?
 
Back
Top Bottom