AdanaVural
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 628
- 354
Kuwa mwalimu sio lazima hivyo vigezo vyako vitatu viwe ndio sababu, nilifika pale CONAS mwaka 2010 kumtembelea dada yangu, nikamkuta na kijana wakifanya discussion, nilishangaa kuambiwa yule kijana ndio tegemeo lao pale kwa sababu anajua sana, yaani olevel chalii katoka na 10 na advance pale Tanga school kachomoka na 4 PCM, sasa nikashanga kwanini asingeenda Tele au Computer engineering? Majibu yao wakaniambia chalii anautafuta umahiri wa Physics eti, chalii pale CONAS kachomoka na 4. 6 na akaunga Masters ya Physics na mwaka huu anaanza PhD yake, sasa hapo ndio utaona mipango ya mtu ndio kila kitu.
Binafsi nimesoma na mtu pale Faculty of arts na cha kushangaza alikuwa anasoma education nika doubt matokeo yake, ila jamaa alikuwa na 8 na mzee wake yupo njema kiuchumi kiasi kwamba alikuwa ana uwezo wa kwenda kusoma popote pale duniani.
Binafsi nimesoma na mtu pale Faculty of arts na cha kushangaza alikuwa anasoma education nika doubt matokeo yake, ila jamaa alikuwa na 8 na mzee wake yupo njema kiuchumi kiasi kwamba alikuwa ana uwezo wa kwenda kusoma popote pale duniani.