Bando la wiki
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 319
- 884
Watoto wa Kitanzania wanafundishwa na walimu wenye msongo mwingi wa mawazo kwa kufanya kazi huku wakiwaza future ya maisha yao.
Watoto hawawezi kuja kuwa wazalendo nchi hii kwa sababu, walimu ambao ndio role model wao (kwa sababu wanakao nao muda mrefu wa makuzi yao) muda wote wanailamu serikali kwa kuwatelekeza kwa mishahara midogo.
Ndo maana kila anayepewa nafasi nchi hii anawaza ni kivipi atajivutia pande lake hata kama ni kwa kuiba mali za umma.
Nini cha kufanya;
1. Serikali ithamini mchango wa mwalimu wa nchi hii kwa kuwa ndie mwenye jukumu muhimu la kushape ni kwa namna gani jamii ya kitanzania iwe.
2. Serikali ithamini mchango wa mwalimu kwa kuanzisha posho maalum ijulikanayo kama UALIMU ALLOWANCE. Hii posho itakuwa flat rate kwa kila mwalimu kuanzia msingi hadi sekondari, kiasi cha tshs 200,000 kitaingizwa kwenye kila account ya mwalimu ifikapo katikati ya mwezi.
3. Hiki kiasi sio cha kuchukulia mkopo ndo maana kitakuwa kikitolewa katikati ya mwezi ili ku boost kipato cha walimu ambao wengi wao mishahara yao midogo imeathiriwa na makato lukuki ya benki.
Serikali nadhani posho hii kwa walimu ni muhimu kuliko posho mnazolipana ninyi viongozi wetu na wenza wenu.
Ni muda muwe mnafikiria kizazi mnachopanda kitakuja kuweje, maana kinapita kwenye mikono ya walimu wengi maskini na wazazi masikini.
Watoto hawawezi kuja kuwa wazalendo nchi hii kwa sababu, walimu ambao ndio role model wao (kwa sababu wanakao nao muda mrefu wa makuzi yao) muda wote wanailamu serikali kwa kuwatelekeza kwa mishahara midogo.
Ndo maana kila anayepewa nafasi nchi hii anawaza ni kivipi atajivutia pande lake hata kama ni kwa kuiba mali za umma.
Nini cha kufanya;
1. Serikali ithamini mchango wa mwalimu wa nchi hii kwa kuwa ndie mwenye jukumu muhimu la kushape ni kwa namna gani jamii ya kitanzania iwe.
2. Serikali ithamini mchango wa mwalimu kwa kuanzisha posho maalum ijulikanayo kama UALIMU ALLOWANCE. Hii posho itakuwa flat rate kwa kila mwalimu kuanzia msingi hadi sekondari, kiasi cha tshs 200,000 kitaingizwa kwenye kila account ya mwalimu ifikapo katikati ya mwezi.
3. Hiki kiasi sio cha kuchukulia mkopo ndo maana kitakuwa kikitolewa katikati ya mwezi ili ku boost kipato cha walimu ambao wengi wao mishahara yao midogo imeathiriwa na makato lukuki ya benki.
Serikali nadhani posho hii kwa walimu ni muhimu kuliko posho mnazolipana ninyi viongozi wetu na wenza wenu.
Ni muda muwe mnafikiria kizazi mnachopanda kitakuja kuweje, maana kinapita kwenye mikono ya walimu wengi maskini na wazazi masikini.