Walimu karibu wote uwezo mdogo

Ni vizuri ukafanya uchambuzi vizuri huko nyuma ni asiliia ndogo sana ya waliomaliza std vii walienda sekondari. napo waliingia kidato cha 5 ni wachache sana kati ya waliomaliza kidato cha 4. hivohivo walioenda chuo kikuu au duploma ni wachache sana ya walomaliza fm6.
conlusion. mtu yeyeti anayemakiza chuo kikuu au diploma c mjinga au dhaifu bila kujali anasomea kitu gani. maana mtu anakuwa amepita kwenye mchujo na kuwaacha wengi.
Mtoa mada waombe radhi walimu kwani pia ndio huwafundisha ma geneous
 
Unajua kigezo cha ufaulu gani Kinahitajika kwa mtu kusomea degree ya ualimu chuo kikuu kama udsm ?? Ngoja nikusaidie usipende kukalili maisha hiyo fact yak ya kwanza haiko sawa mfano mzuri kwa udsm ili usomee ualim lazima uwe na division 1 ya point yoyote ile ,,, sasa unapokalili na kusema kusomea ualimu ni kwa waliofeli tengua kauli mkuu think critically
Acha uongo wa mchana kweupe.watu wanachukua education hadi division 3...!!!wewe wa wapi watakucheka watu.
 
Nina two ya PCM tena ya 2007, na sasa ni mwalimu wa mathematics. Kama unabisha sema tuweke dau.
Ndo tunarudi kwenye point yetu kwamba uliangalia unafuu wa ajira ukaona ualimu kutokana na hali ya kimaisha uliyokuwa nayo.nyie ndo lile kundi mnaenda ualimu kwa shingo upande kwa urahisi wa ajira tu si vinginevyo.
 
Mleta uzi una tabia za kiadolescent kama wewe sio adolescent bado. Kwa hiyo ni yapi manufaa ya uzi huu?
Kwann hujazungumzia waliosoma sociology na kozi zingine za jamii hiyo ambao wana div3?
Nafikiri wewe hata kama ulifaulu kwa div1 ni upo vzr darasani tu ila akili za maisha,uongozi, kuishi na watu n.k wewe ni zero kabisa
 
Tazama picha hizi..

Hii yaonesha pass grade na weight yake
732a6e1235130c34a38990f1ec20e877.jpg


Focus kwenye minimum admission point ya huyo wa Bachelor of education na huyo wa Bachelor of Sc. In Engineering.

c93e0a5f0e0948794aa85b5442c7fce0.jpg


2be73b738ca4e2805c28c69c2c59858b.jpg


Kisha..Kama ubongo uko sawasawa utakuwa umeelewa.
Usisite kuomba msaada wa kueleweshwa.
Mtoa mada yupo sahihi wewe una akili ya darasani ila ya maisha Huna uliona shortcut ya kupata ajira ni education mkuu umechemka vibaya
Acha ufala we mi kuanzia form 4 six na chuo kikuu ufaulu Wangu in daraja la kwanza na ni high score. Fala wewe
 
Habari wanajamvi?

Ashakum sio matusi ila leo nimeamua kuleta mada hii baada ya kufanyia utafiti binafsi kwa muda hivi.Kwanza nilianza kuambiwa na rafiki yangu enzi hizo 2012 pale UDBS kwamba asilimia kubwa kama sio wote waalimu uwezo wao ni mdogo upstairs nikakataa akanitaka nifanye utafiti binafsi.

- Walimu wengi kama sio wote hawakupenda kuwa waalimu ila ufaulu wao ndio ulipelekea wakose option na kujikuta kwa shingo upande wanadumbukia kwenye fani ya ualimu bila kupenda.

-Asilimia kubwa ya walimu hawakupenda kwenda ualimu ila ukiachilia mbali ufaulu kuwa hafifu pia urahisi wa kuajiriwa, hii inatokana na ajira kuwa ngumu hivyo wengi kukimbilia ualimu ili kutatua matatizo yao ya ajira.

-Uchumi mbovu umepelekea wengi kuishia kuwa waalimu, hapa nina maana zile familia ambazo hazina uwezo wa kumlipia mwanafunzi kusoma kitu anachokipenda hivyo kujikuta akisoma ualimu ili apate ufadhili wa serikali.

Naomba nisieleweke vibaya ila jaribu kufuatilia kwa umakini uje unaimbie mwanafunzi aliyepata division one nzuri kabisa akawa mwalimu, asilimia kubwa ya waalimu ni waliosoma arts au biashara kwakuwa wengi matokeo yao hayakuridhisha hatimaye option pekee ikawa ualimu.

Waalimu wengi wa science walifeli hapa naomba uniletee mwalimu ambaye ama alisoma PCM, PCB, PGM n.k akapata divion one au two akaenda kusoma ualimu? Wanaokuwa waalimu wengi huangukia kwenye point ya ufaulu mbovu darasani na ni wachache sana huangukia kuwa waalimu sababu ya uchumi wa familia ila wengi saaana walifeli.

Hata kama walijiendeleza na kuwa na masters still ukirudi nyuma utakuwa wengi walifeli, ndio maana nikasema asilimia kubwa kama sio wote uwezo wao ni mdogo.
Kama Kuna kaukweli fulani hivi amazing
 
Asante kwa mitusi yako ya nguoni,wee! mleta mada. "my last mistake, my first lesson".
 
Huyu kijana hajielewi.Yaani kwa akili hizi za panzi huo uongozi hutafika mbali.Kwahiyo hata Magufuli kichwani hana kitu?Tutake radhi dogo.
 
Habari wanajamvi?

Ashakum sio matusi ila leo nimeamua kuleta mada hii baada ya kufanyia utafiti binafsi kwa muda hivi.Kwanza nilianza kuambiwa na rafiki yangu enzi hizo 2012 pale UDBS kwamba asilimia kubwa kama sio wote waalimu uwezo wao ni mdogo upstairs nikakataa akanitaka nifanye utafiti binafsi.

- Walimu wengi kama sio wote hawakupenda kuwa waalimu ila ufaulu wao ndio ulipelekea wakose option na kujikuta kwa shingo upande wanadumbukia kwenye fani ya ualimu bila kupenda.

-Asilimia kubwa ya walimu hawakupenda kwenda ualimu ila ukiachilia mbali ufaulu kuwa hafifu pia urahisi wa kuajiriwa, hii inatokana na ajira kuwa ngumu hivyo wengi kukimbilia ualimu ili kutatua matatizo yao ya ajira.

-Uchumi mbovu umepelekea wengi kuishia kuwa waalimu, hapa nina maana zile familia ambazo hazina uwezo wa kumlipia mwanafunzi kusoma kitu anachokipenda hivyo kujikuta akisoma ualimu ili apate ufadhili wa serikali.

Naomba nisieleweke vibaya ila jaribu kufuatilia kwa umakini uje unaimbie mwanafunzi aliyepata division one nzuri kabisa akawa mwalimu, asilimia kubwa ya waalimu ni waliosoma arts au biashara kwakuwa wengi matokeo yao hayakuridhisha hatimaye option pekee ikawa ualimu.

Waalimu wengi wa science walifeli hapa naomba uniletee mwalimu ambaye ama alisoma PCM, PCB, PGM n.k akapata divion one au two akaenda kusoma ualimu? Wanaokuwa waalimu wengi huangukia kwenye point ya ufaulu mbovu darasani na ni wachache sana huangukia kuwa waalimu sababu ya uchumi wa familia ila wengi saaana walifeli.

Hata kama walijiendeleza na kuwa na masters still ukirudi nyuma utakuwa wengi walifeli, ndio maana nikasema asilimia kubwa kama sio wote uwezo wao ni mdogo.
Sijui kwanini jf wamekuacha uendelee kudhalilisha walimu wako bila kuthibitisha hilo?

Binafsi ni mwalimu A-Level Nina division ll ya point 10 na O-Level Nina division III ya 25 sasa nadhani ww umekosa busara na hekima

Umepitia mikononi mwao Sasa umeshiba umeanza kutunyea mikononi mwetu.

Katu nakuambia...hatutakata mikono yetu eti kisa umetunyea we endelea kutunyea tu Mkuu ....haki yako utaipata
 
Madaktari na waalimu wengi wameenda huko ili wapate full sponsorship
Waalimu wengi ni failures wa form four
Sikubaliani na hoja yako....Mimi ni mwalmu nna ufaulu wa div...2 ya O' level na A'level....kama upo Tayari ...weka dau then weka email yako nami ntaweka yangu....tuwekeane vyeti hapa...
 
Nimeweka hapo awali ukifundishwa kupika haimainishi aliyekufundisha ataendelea kuwa zaidi yako, juhudi zako ndizo humfanya mtu ampite...mwalimu aliyenifundisha uwezo wake ndio uliishia pale ila kwa juhudi zangu nikampita...kwahiyo kama alimaliza form four akapiga four akapelekwa ualimu kisha akaja kufundisha shule ya msingi, mie mwanafunzi wake nikasonga mpaka chuo kikuu bado utasema mwalimu ni bright?! Asilimia kubwa ya waalimu uwezo upstairs ni mdogo
Na kingine mie sikusoma ualimu Bali nilisoma PSPA (Political Science and Public Administration)
PSPA...Tena nahisi ya mlimani..basi ndugu tumekuelewa....ni kuwa una stress,tireless, brainless, so why UA too bogus...u can't think more
 
Sijui kwanini jf wamekuacha uendelee kudhalilisha walimu wako bila kuthibitisha hilo?

Binafsi ni mwalimu A-Level Nina division ll ya point 10 na O-Level Nina division III ya 25 sasa nadhani ww umekosa busara na hekima

Umepitia mikononi mwao Sasa umeshiba umeanza kutunyea mikononi mwetu.

Katu nakuambia...hatutakata mikono yetu eti kisa umetunyea we endelea kutunyea tu Mkuu ....haki yako utaipata
Ameamua kuandika kwa ushabiki tu ili kupata sifa za kijinga....lakini kiukweli Walimu wengi hatupo hivo...

Pumbavu zake .....
 
Habari wanajamvi?

Ashakum sio matusi ila leo nimeamua kuleta mada hii baada ya kufanyia utafiti binafsi kwa muda hivi.Kwanza nilianza kuambiwa na rafiki yangu enzi hizo 2012 pale UDBS kwamba asilimia kubwa kama sio wote waalimu uwezo wao ni mdogo upstairs nikakataa akanitaka nifanye utafiti binafsi.

- Walimu wengi kama sio wote hawakupenda kuwa waalimu ila ufaulu wao ndio ulipelekea wakose option na kujikuta kwa shingo upande wanadumbukia kwenye fani ya ualimu bila kupenda.

-Asilimia kubwa ya walimu hawakupenda kwenda ualimu ila ukiachilia mbali ufaulu kuwa hafifu pia urahisi wa kuajiriwa, hii inatokana na ajira kuwa ngumu hivyo wengi kukimbilia ualimu ili kutatua matatizo yao ya ajira.

-Uchumi mbovu umepelekea wengi kuishia kuwa waalimu, hapa nina maana zile familia ambazo hazina uwezo wa kumlipia mwanafunzi kusoma kitu anachokipenda hivyo kujikuta akisoma ualimu ili apate ufadhili wa serikali.

Naomba nisieleweke vibaya ila jaribu kufuatilia kwa umakini uje unaimbie mwanafunzi aliyepata division one nzuri kabisa akawa mwalimu, asilimia kubwa ya waalimu ni waliosoma arts au biashara kwakuwa wengi matokeo yao hayakuridhisha hatimaye option pekee ikawa ualimu.

Waalimu wengi wa science walifeli hapa naomba uniletee mwalimu ambaye ama alisoma PCM, PCB, PGM n.k akapata divion one au two akaenda kusoma ualimu? Wanaokuwa waalimu wengi huangukia kwenye point ya ufaulu mbovu darasani na ni wachache sana huangukia kuwa waalimu sababu ya uchumi wa familia ila wengi saaana walifeli.

Hata kama walijiendeleza na kuwa na masters still ukirudi nyuma utakuwa wengi walifeli, ndio maana nikasema asilimia kubwa kama sio wote uwezo wao ni mdogo.

Jaribu pia kufuatilia matokeo ya watu waliosoma ualimu kwa ngazi ya cheti na Diploma halafu linganisha na watu waliosoma ngazi hizo hizo uhasibu,afya,sheria,computer,civip engineering,marketing,biashara n.k uje na majibu hapa hapa...



ACHA KUDHARAU WALIMU WAKATI NDO WAMEKUFANYA UWEZE HATA KUANDIKA HAPA
 
Kwahiyo unatakaje sasa ndugu. Au unataka tufutwe kazi uje ufundishe wewe
Labda anataka aje kufundisha yeye....lakini njia anayoitumia si njema...

kwanza ameamua kutudhalilisha...lakini pia anataka tuamini kuwa wote walio katika kada zingine tofauti na Elimu....wote wana ufaulu wa daraja la I...na majumbani kwao, Maisha ni level ya huu sana..
 
Naona waalimu mnatokwa povu jingi kusikia ukweli...wengi wenu mnajitetea nonsense kwani nimeweka vipengele vitatu
1) Matokeo mabovu
2) Ajira ya haraka
3) Uchumi wa familia
Lakini naona wengi mnatolea povu kwenye matokeo mabovu na ndio sababu nawacheka kwani siku zote ukweli unauma. Kama hukufeli na umekuwa mwalimu maana yake point ya kwanza haikuhusu sasa kwanini utokwe povu kwa jambo ambalo halikuhusu...ukweli utaendelea kudumu na uzuri kila mtu anajijua na vyeti vyake hapa mnapiga kelele tu sijui ulipata div 1 au 2 kujipooza lakini ukweli unaujua mwenyewe...
Hahahahha
 
Back
Top Bottom