MZEE MSASAMBEGU
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,780
- 2,555
And kama unaongelea waliomaliza form six then wakaenda ualimu ni wabovu..kuna vyuo kama kampala..,imtu,st john kuna watu wanaosomea udaktari na course nyingine za afya ambao ufaulu wao ni mdogo kuliko mtu aliyeenda kusomea science education university of dar es salaam..sasa hapo kati ya huyo mwalimu aliyesoma ud na daktari wa kampala university nani mwenye ufaulu na uwezo mdogoUnaongelea failure kwa failure mkuu...hata kama wanachukua point 27 ualimu still ni four...halafu upande wangu mwanafunzi yeyote ambaye kamaliza four akapiga four akakimbilia chuo huwa namuita Kilaza...ninaowaongelea ni wale wamemaliza form six wakaingia chuo wanaoenda ualimu upstairs ni wabovu...so tambua hao unaowaongelea wote uwezo mdogo...ni sawa na aliyemaliza form six akafeli na kupata principal moja akakimbilia diploma, so tambua point asilimia kubwa waalimu ni wabovu upstairs