Walimu karibu wote uwezo mdogo

Walimu karibu wote uwezo mdogo

Ukiona watu Tanzania wanafauli wanaitwa Tanzania one, jua kuna walimu unaoita wamefeli wame transfer knowledge. Fact one


Fact two. Ukiwa na D nne na F tatu ni div 4 ya point 31 chuo chochote cha fani zote utaenda isipokuwa ualimu

Ualimi ndio wana grade za juu kuliko course zote.

Nenda cheti cha sheria, human resources, uhasibu na koye huko D nne na mistari ya F unakuwa admited ila ualimu bila three ya 25 huendi hata kwa dawa. Hata zamani cut point ilikuwa four 28. Mleta mada rudi ukajifikirie wenzio wapo kazini roho inakuuma na vyeti vyako unasaga kiatu
 
Unjifurahisha mdogo wangu sasa baada ya kugundua tatizo umetoa suluhisho lipi?unatoa majigambo yasiyokuwa na tija?unawadhihaki waliowaamini na kumuamini mwalimu alie kufundisha mbwiga kabisa wewe watu kama nyie ndo mnafanya ufalme mbingu uchelewe kuja huna statistics unaishi kwa imagination poor you.
 
upo sawaa asilimia 90% hawakufanya vizur na 10% hv wameenda wapate ajira za faster ili wapate mitaji wafanye yao
 
Walimu wengi hasa o level na a level ni vilaza

Bila juhudi zangu binafsi nisingefika university .

Walimu wengi walizingua form 4 na 6 ..
 
Kweli walimu mna matatizo!!! mleta mada ameelezea vizuri sana juu ya hilo, kwamba kuna sababu kama tatu au nne za watu kusoma ualimu, lakini akasema majority ni ufaulu mdogo (walimu walio wengi, siyo wote). Sasa kama wewe hauko kwenye ufaulu mdogo maana yake uko katika sababu nyingine. Hili nalo wewe kama mwalimu unashindwa kulielewa tu?
mkuu nisaidie labda miye sijui kama ualimu unavilaza wengi basi sekta nyingine kutakuwa matahira labda naomba unisaidie ni kada ipi inaongoza kwa kuchukua wanafunzi waliofaulu ngazi ya cheti nikimaanisha mwanafunzi amemaliza form 4 anataka apply ngazi ya cheti fani yoyote ile ngazi ya cheti naomba unisaidie.
Pia naomba unitajie ni fani tatu zinazoongoza kwa kuchukua wanafunzi wenye ufaulu wa juu ingekuwa vyema unitajie ipi inaanza ipi inafuata ktk ngazi ya diploma na university nikipata majibu ya maswali haya nitaona nimusuport mtoa mada au nimupinge, asante
 
Nimekuelewa mtoa Uzi. Watu wameng'angania academic performance Jamaa pia kaongelea uchumi wa familia, kutafuta sponsorship ya serikali. Na ajira ya fasta kusaidia familia. Marekebisho: Ni kuwa walioko kwenye hiyo field si Kwa kupenda. Kilichowakwaza RAIA ni kusema uwezo mdogo
 
Habari wanajamvi?

Ashakum sio matusi ila leo nimeamua kuleta mada hii baada ya kufanyia utafiti binafsi kwa muda hivi.Kwanza nilianza kuambiwa na rafiki yangu enzi hizo 2012 pale UDBS kwamba asilimia kubwa kama sio wote waalimu uwezo wao ni mdogo upstairs nikakataa akanitaka nifanye utafiti binafsi.

- Walimu wengi kama sio wote hawakupenda kuwa waalimu ila ufaulu wao ndio ulipelekea wakose option na kujikuta kwa shingo upande wanadumbukia kwenye fani ya ualimu bila kupenda.

-Asilimia kubwa ya walimu hawakupenda kwenda ualimu ila ukiachilia mbali ufaulu kuwa hafifu pia urahisi wa kuajiriwa, hii inatokana na ajira kuwa ngumu hivyo wengi kukimbilia ualimu ili kutatua matatizo yao ya ajira.

-Uchumi mbovu umepelekea wengi kuishia kuwa waalimu, hapa nina maana zile familia ambazo hazina uwezo wa kumlipia mwanafunzi kusoma kitu anachokipenda hivyo kujikuta akisoma ualimu ili apate ufadhili wa serikali.

Naomba nisieleweke vibaya ila jaribu kufuatilia kwa umakini uje unaimbie mwanafunzi aliyepata division one nzuri kabisa akawa mwalimu, asilimia kubwa ya waalimu ni waliosoma arts au biashara kwakuwa wengi matokeo yao hayakuridhisha hatimaye option pekee ikawa ualimu.

Waalimu wengi wa science walifeli hapa naomba uniletee mwalimu ambaye ama alisoma PCM, PCB, PGM n.k akapata divion one au two akaenda kusoma ualimu? Wanaokuwa waalimu wengi huangukia kwenye point ya ufaulu mbovu darasani na ni wachache sana huangukia kuwa waalimu sababu ya uchumi wa familia ila wengi saaana walifeli.

Hata kama walijiendeleza na kuwa na masters still ukirudi nyuma utakuwa wengi walifeli, ndio maana nikasema asilimia kubwa kama sio wote uwezo wao ni mdogo.
 
Nimekuelewa mtoa Uzi. Watu wameng'angania academic performance Jamaa pia kaongelea uchumi wa familia, kutafuta sponsorship ya serikali. Na ajira ya fasta kusaidia familia. Marekebisho: Ni kuwa walioko kwenye hiyo field si Kwa kupenda. Kilichowakwaza RAIA ni kusema uwezo mdogo
Kada gani ambayo haina walio na ufaulu na uwezo mdogo
 
Takataka,unaongea pumba tu hapa,hata tunaokusikiliza tunaonekana pumba vilevile
Mimi ni mwalimu tena wa shule ya msingi ila nasikitika unasema utafiti unaonyesha walimu wengi uwezo wao ni mdogo, sibishani na wewe ila naomba unieleze utafiti huu ulifanyikia wapi na ni kigezo gani ulichotumia kujua uwezo wa walimu na ulitumia nini kuannalize hizo data zako, pia tuambie wewe matokeo yako ulipata nini ili na sisi tujue uwezo wako wa kufikiri na kuchambua mada.
ninaogopa kubishana na wagonjwa wa mirembe
 
Mimi ni mwalimu tena wa shule ya msingi ila nasikitika unasema utafiti unaonyesha walimu wengi uwezo wao ni mdogo, sibishani na wewe ila naomba unieleze utafiti huu ulifanyikia wapi na ni kigezo gani ulichotumia kujua uwezo wa walimu na ulitumia nini kuannalize hizo data zako, pia tuambie wewe matokeo yako ulipata nini ili na sisi tujue uwezo wako wa kufikiri na kuchambua mada.
ninaogopa kubishana na wagonjwa wa mirembe
Tena wewe mwalimu wa shule ya msingi ndio sina hata haja ya kukupa fact zozote, kidogo waongee waalimu wa sekondari na A'level ila msingi nyie wengi hamkuwa na option kabisa zaidi ya matokeo mabovu ya kidato cha nne
 
Tena wewe mwalimu wa shule ya msingi ndio sina hata haja ya kukupa fact zozote, kidogo waongee waalimu wa sekondari na A'level ila msingi nyie wengi hamkuwa na option kabisa zaidi ya matokeo mabovu ya kidato cha nne
Jibu maswali yake. Usipoweza kujibu maswali rahisi kama hayo, nitaconfirm kwamba wewe ni kilaza na ulibebwa tu. Kama ulipata alama nzuri ni kwa kununua mitihani tu. Lakini stadi za kutoa hoja kama msomi, huna.
 
Jibu maswali yake. Usipoweza kujibu maswali rahisi kama hayo, nitaconfirm kwamba wewe ni kilaza na ulibebwa tu. Kama ulipata alama nzuri ni kwa kununua mitihani tu. Lakini stadi za kutoa hoja kama msomi, huna.
Okay kwa msaada tu O'level nilisoma Azania nikapata 1:12, A'level nikasoma Tambaza HGE nikapata 1:9
Utafiti kama umesoma kianzio cha mjadala utaelewa chanzo cha utafiti ilikuwaje...watu niliowalenga ni waalimu wa shule mbalimbali wakiwemo ndugu, jamaa na marafiki ambao nimekutana nao na kukua nao point walizozipata na walipokimbilia...niliainisha sababu zangu tatu nikiamini zipo nyingine nyingi tu ila zangu nilibase na
1) ufaulu hafifu
2) uhitaji wa ajira baada ya masomo
3) uwezo wa familia kusomeshwa hivyo kuhitaji mkopo
Nililenga katika vipengele hivyo vitatu na asilimia kubwa wakadondokea kwenye kipengele cha kwanza. Ingawa wapo ambao walifaulu na wakaenda ualimu ila percentage yake ni ndogo tofauti na wale waliokosa option. Nilifanya mchanganuo huo kwa zaidi ya waalimu 2,000 wa shule mbalimbali na kwakuwa haukuwa Utafiti wa kuniingizia hela ila kupima chanzo cha Utafiti kabla sijajiweka huko. Nimezunguka mikoa zaidi ya 15 kwasababu ya kazi ninayoufanya hivyo ninetembelea shule nyingi za vijijini na kujionea kwa macho yangu pasi kuambiwa na mtu. Kama unahisi nimeleta Uzi huu kwa lengo la kujifariji au kupondea fani za watu, nakupa pole sana kwakuwa ni mtazamo wako kama vile Mimi nilivyokuwa na mtazamo mpaka kuuleta huu Uzi na sijukurupuka...angalia entry qualifications za degree ualimu vyuo mbalimbali nchini utakubaliana namimi
NB: kuna vijana wawili walimaliza form six 2012 wakapata 3:17 yaani E E F na wakaapply chuo na kupata Josiah Kibira Kagera na Stefano Moshi Memorial Kilimanjaro na wakala na mkopo juu na mind you walikuwa Arts tena HGK... Hivyo basi uponde mpaka mdomo ukae kushoto nimeandika kile nilichokishuhudia na sio kuambiwa...
Asante
 
Habari wanajamvi?

Ashakum sio matusi ila leo nimeamua kuleta mada hii baada ya kufanyia utafiti binafsi kwa muda hivi.Kwanza nilianza kuambiwa na rafiki yangu enzi hizo 2012 pale UDBS kwamba asilimia kubwa kama sio wote waalimu uwezo wao ni mdogo upstairs nikakataa akanitaka nifanye utafiti binafsi.

- Walimu wengi kama sio wote hawakupenda kuwa waalimu ila ufaulu wao ndio ulipelekea wakose option na kujikuta kwa shingo upande wanadumbukia kwenye fani ya ualimu bila kupenda.

-Asilimia kubwa ya walimu hawakupenda kwenda ualimu ila ukiachilia mbali ufaulu kuwa hafifu pia urahisi wa kuajiriwa, hii inatokana na ajira kuwa ngumu hivyo wengi kukimbilia ualimu ili kutatua matatizo yao ya ajira.

-Uchumi mbovu umepelekea wengi kuishia kuwa waalimu, hapa nina maana zile familia ambazo hazina uwezo wa kumlipia mwanafunzi kusoma kitu anachokipenda hivyo kujikuta akisoma ualimu ili apate ufadhili wa serikali.

Naomba nisieleweke vibaya ila jaribu kufuatilia kwa umakini uje unaimbie mwanafunzi aliyepata division one nzuri kabisa akawa mwalimu, asilimia kubwa ya waalimu ni waliosoma arts au biashara kwakuwa wengi matokeo yao hayakuridhisha hatimaye option pekee ikawa ualimu.

Waalimu wengi wa science walifeli hapa naomba uniletee mwalimu ambaye ama alisoma PCM, PCB, PGM n.k akapata divion one au two akaenda kusoma ualimu? Wanaokuwa waalimu wengi huangukia kwenye point ya ufaulu mbovu darasani na ni wachache sana huangukia kuwa waalimu sababu ya uchumi wa familia ila wengi saaana walifeli.

Hata kama walijiendeleza na kuwa na masters still ukirudi nyuma utakuwa wengi walifeli, ndio maana nikasema asilimia kubwa kama sio wote uwezo wao ni mdogo.
Wapo waalimu wengi sana wenye divisio 1 mpaka 2 wanao fundisha mashuleni!!! Tembelea shule hizo na omba kupitia mafile hasa secondari za O level na A level!!! Utashangaaa!!! Na nakupa nahii baada ya miaka 3 ijayo waalimu wengi vijana unao waona sasa ivi hawa wa sekondari asilimia kubwa watakua ni masters holders na kuendelea!!!


Wengi wapo wanafundisha huku wana soma masters zao na wengine sasa hiv wako na PHD!
 
wewe ndo uwezo wako mdogo nani aliyekuambia kufaulu mtihan mpaka upate division 1na 2. ukijiona umepata cheti cha kuhitimu shule ujuwe umefaul walio feli wenye uwezo mdogo hata cheti hawapati
 
wewe ndo uwezo wako mdogo nani aliyekuambia kufaulu mtihan mpaka upate division 1na 2. ukijiona umepata cheti cha kuhitimu shule ujuwe umefaul walio feli wenye uwezo mdogo hata cheti hawapati
Sipingi hiyo ni tafsiri yako ila sio tafsiri yangu...
 
asilimia kubwa wanaosomea ualimu ni waliofeli form four na six..nina marafiki zangu wengi tu walipata div zero ni walimu sasa hivi kwa vyeti vya kufoji..
 
Mtoa mada ameshambuliwa sana lakini yuko sahihi.Nadhani sababu kubwa ni kwamba amegusa waalimu wengi humu JF.Ila mada yake ina ukweli 100%.Sisi tunaoishi na waalimu karibu tunaujua ukweli huu.Mtabaki mnatetea lakini ukweli utabaki pale pale.Waalimu wengi uwezo wao ni mdogo na hii ni sababu moja wapo inayochangia kuzorota kwa elimu yetu nchini.The quality of most of our teachers is extremely low.Something drastic needs to be done.
We ni sample ya watu wenye ufinyu wa kupembua maisha. Kwako wewe kufaulu ni kupata div.1 basi!? Rudi kafanye utafiti wanafunzi wengi waliokuwa vichwa darasani huwakosi namba moja hadi tatu na walipata one kali huishia kuwa walimu. Uwezo wa mtu darasani sio determinant ya future yake. Watu walio na position nzuri za ajira na tabaka la juu ni wale waliokuwa wanachechemea darasani au hata walitoka na div. 4. Hoja kubwa uliyotoa ni kwamba wengi wamesomea ualimu kwa sababu ya uwezo wao kiuchumi haukuwapa alternative ya kusomea fani nyingine nzuri. Huu ndio ukweli na si suala la uwezo kiakili.
 
Back
Top Bottom