We mtoa post hilo swala la kusema walimu ni watu waliofail nadhan hujafanya utafit wa kutosha,,ila naweza sema umekurupuka....
Kitu ambacho ungepaswa kutuonesha hapa km utanguliz ni kuelezea mtu aliyefaul ni aliyempa ufaul wa namna gan vivyo hivyo aliyefail kulingana viwango vya necta,,,,
Kwa upande wangu nashindwa kukuelewa unaposema walim ni watu waliofail kwa kwa vigezo vip?
NB....katika taaluma ngum kuliko zote kuendelea mbele ni ualim,,,nasema hiv nikimaanisha kwamba
1..huwez ukawa mwalim wa primary bila kuwa na Elim ya form four aliyefaul
2..huwez ukawa mwalim wa secondary km hujasoma form six na kufaul.
Hivyo suala hili linaonesha dhahili ualim upo systematic yan huwez kwenda daraja moja pasipo kupitia daraja la chin,,,
Lakin kada zingine watu wanapata degree hata elim ya six hana ulipaswa kujiuliza hilo swala pia ktk huo utafit wako...
Mwisho ifike mahala,,ujitathin ww mwenyewe,,hapo ulipo fika ni juhud za huyo mwalim aliyefail,,toka primary hadi level ya chuo kikuu leo hii unaleta dharau ya kuwakataa wazaz waliokulea na kukupa maalifa,,,
Jipange kwa vingine ila hilo umechemka,,,ila km umesomea nje ya tz Elim yako yote unahak ya kuwaita walim waliofail