Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 4,155
- 11,465
Eti "bread ener". Ndo nini hiyo?Mimi sio bread ener wa nchi hii nakula jasho langu mkuu
Eti "bread ener". Ndo nini hiyo?Mimi sio bread ener wa nchi hii nakula jasho langu mkuu
bread ener maana yake nini?Mimi sio bread ener wa nchi hii nakula jasho langu mkuu
Mhh au nayeye alikua anatafuna vyako we hujui?kuna jamaa nilipanga kwake yaani ilikua hadi nimtafute mwenyewe nimpe pango lake, nilikua naweza kaa hata mwaka simpi hata mia na nikimpa hata hahesabu anatia mfukoni anasepa. Ila sasa upange uswazi yaan mwenye nyumba anajua hadi tarehe za mshahara kama vile yeye ndio mfanyalazi
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahahhahaha uzuri nilikua aloneMhh au nayeye alikua anatafuna vyako we hujui?
unajua kuna watu waelewa wanajua kabisa mpangaji wangu sio mbabaishaji so ukiona hajalipa ujue kweli amepatwa na jamboHapa nimepanga ofisi mwenye nyumba hadi leo hajaniuliza Kodi yake. Huwa inaanzia Jan 1
Walimu kama mshalipwa mtulipe bana hii gvt yenu si inawajali?
It pays you on time and a lot of money na mmeongezwa mishahara sijui madaraja nk.
So plz lipeni madeni yetu huku mtaani. Wiki hii ikiisha naanza kuwafukuza kwenye nyumba yangu.
Landlord hutaki mchezoWalimu kama mshalipwa mtulipe bana hii gvt yenu si inawajali?
It pays you on time and a lot of money na mmeongezwa mishahara sijui madaraja nk.
So plz lipeni madeni yetu huku mtaani. Wiki hii ikiisha naanza kuwafukuza kwenye nyumba yangu.
Niliyonayo nimemjengea mama yako mzazi njoo uchukue Kodi !!Ni mtu mpumbavu tu ndio huwakejeli walimu . Kwa akili hizi huwezi kuwa na nyumba wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena huyu ana njaa kweli kweliHii ndio tabu ya kupanga kwa mwenye nyumba mwenye njaa!