Walimu Arusha watakiwa kwenda uwanjani Sheikh Amri Abeid kesho kwaajili Rais Samia

Kesho kunafanyika maadhimisho ya wiki ya Usalama barabarani mkoani Arusha ambapo mgeni rasmi ni Rais Samia Suluhu Hassan.

Katika kuhakikisha shughuli hiyo inafana, walimu wote wa shule za sekondari na msingi Arusha, wameagizwa kwenda kuhudhuria bila kukosa shughuli hiyo.

Walimu pekee ambao hawatatakiwa kwenda ni wale wanaosimamia mitihani ya kidato cha nne inayoendelea.

My take:
Naona ni impact ya wananchi wa chini wakiwemo machinga kutokumsapoti mama, hivyo wakaona uwanja unaweza ukawa mtupu
Bibi ushungi hana mvuto
 
Back
Top Bottom