Ronn M
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 1,279
- 683
Walikuwa wanawaza nini?
Walipojenga ile power plant pale ubungo!
Walipojenga lile daraja (pekee in dar) pale manzese?
Walipokuwa wakiwachagua viti maalumu (au vitumaalum)?
Walipotangaza wanafunzi 5000 wa shule ya msingi wamefaulu kuingia sekondari lakini hawajui kusoma wala kuandika (sijui waliofeli wanajua nini)!
Walipotoa permit za kuporomosha mijengo posta wakiona hali ya barabara!
Walipojenga ile power plant pale ubungo!
Walipojenga lile daraja (pekee in dar) pale manzese?
Walipokuwa wakiwachagua viti maalumu (au vitumaalum)?
Walipotangaza wanafunzi 5000 wa shule ya msingi wamefaulu kuingia sekondari lakini hawajui kusoma wala kuandika (sijui waliofeli wanajua nini)!
Walipotoa permit za kuporomosha mijengo posta wakiona hali ya barabara!