Walichofanya HELSB sio haki!

Hostel zipi hazina watu mbona unaongea mashudu wewe dada umetumwa au. Mimi mwaka huu niapply hostel na nikakosa
 
Huna experience yoyote kuhusu udsm kaa kimya dada yangu
 
Huna experience yoyote kuhusu udsm kaa kimya dada yangu
Nimeongea yangu na nilivo ishi ingependeza na wewe uandike yako maana kila mtu na life style yake, so sidhani kubishia uzoefu wangu bila kueleza side yako hai make sense
 
Hostel zipi hazina watu mbona unaongea mashudu wewe dada umetumwa au. Mimi mwaka huu niapply hostel na nikakosa
Acha povu wewe, uongea na watu ujue vizuri, Kuna hata sio student wanaishi hostel mbona
 
Nimeongea yangu na nilivo ishi ingependeza na wewe uandike yako maana kila mtu na life style yake, so sidhani kubishia uzoefu wangu bila kueleza side yako hai make sense
Unadanganya watu sijui unanufaika vipi. Umetoka kusema Magufuli kuna nafasi za wazi wakati hakuna nafasi kabisa na mpaka watu wanabebana. Mimi nipo udsm sasaivi apa ni mwanafunzi na nilikosa hostel mwaka huu sikupangiwa zilikua zimejaa. Naomba niambie izo nafasi unazosema ni za udsm ya mkoa gani labda Shinyanga
 
Sasa nidaganye ili nifaidike Nini napewa hela au maana watu wameacha vyumba wako kitaa kwa hiyari yao wewe Kama umekosa ni bahati yako mbaya tu, labda una mkosi wa kaniki au wa kunguru, kaongee na mawadeni wewe, kubebana Sana ilikuwa enzi zetu before magufuli hostel Tena ma block A ya wanawake lilikuwa hayajai yet watu walikuwa wanabebana tu.
Ongea na wenye connection.
By the way hapa siko kushindana kwa lolote au sijui nionekaneje naandika ninalojua na wewe andika unachopitia that's life hatafutwi mshindi so relax
 
Duuh kwani huo mkopo wewe ulipewa ajili ya nini? na ni wa asilimia ngapi? je ulikata rufaa kudai zaidi? je ulikubaliana na masharti uliyopewa? Majibu ya haya maswali walau yatakufanya uelewe na viongozi wenu wameongea radio Uhuru leo asubuhi!!! Soma ujikomboe!! Malipo ni kwa siku za kusoma au field!!!
 
Acha ujinga wewe unafikiria wengine hawana matatizo mbona yako madogo watu Wana makubwa na hawajafikiria kujiua, hyo kesho nitafte nikukorogee hyo sumu siumechoka kula ugali na kula mema ya nchi.
Kwani amesema anataka kunywa sumu?.
 
Kwani heading ina ubaya gani?.
 
Huna hoja fala ww
 
Una hakika mkataba umeandika idadi ya pesa. Mwanafunzi anayotakiwa kupewa.
 
Huna akiri ungekuwa unajua wangapi wamekosa elimu ya chuo kwasababu ya hali ngumu wamekosa mkopo usingeandika ujinga.

Ninyi ndio muliopewa mkopo huku mukiwa hamustahili.
Uandishi wako unathibitisha ulivyo MCHOVU kwenye ubongo!

Ungekuwa na upeo usingekurupuka hivi ila ungeomba maelezo zaidi.

Niweke sawa nilichokiandika;
Nilimaanisha kwa yeyote ambaye anaweza kupambana nje ya heslb asihangaike na mkopo maana ulipaji wa hilo deni kwa walio wengi ni mzigo. Kama hauna mbadala kifedha basi huo mkopo ni muhimu.
 
Nonsense huna hoja inayoeleweka, ukubali tu umeandika ujinga na unakuja kutetea ujinga kwa hoja zisizoeleweka.
 
Nonsense huna hoja inayoeleweka, ukubali tu umeandika ujinga na unakuja kutetea ujinga kwa hoja zisizoeleweka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…