Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,898
- 12,179
Jionee mwenyewe👇
😅😅Ama kweli ndio maana waswahili wakasema kila shetani na mbuyu wake 🤣🤣
Huku nilipo muda wa kufuturu tayari 😃Mkuu hii dhambi ya kunifungulisha utaenda kujibu wewe!, mi sitaki ujinga picha zako zimenipeleka mezani nalichapa wali haragwe!..😅
🤣🤣Hadi nimepata njaa ghafla
mkuu hilo ni tumbo ama kiwanda cha gesi asilia...🤣weka na parachichi hapo
msosi mtamu huo
Bila shaka wewe ni mzanzibar ndio mnatamanishwa hata kama mmefungaMkuu hii dhambi ya kunifungulisha utaenda kujibu wewe!, mi sitaki ujinga picha zako zimenipeleka mezani nalichapa wali haragwe!..😅
watu mnaokunywaga fanta huwa nawaona kama wachawi tu...🤣Wali maharage na fanta orange is better than chips yai 🥰
nawe unaamini nimefunga...🤣Bila shaka wewe ni mzanzibar ndio mnatamanishwa hata kama mmefunga
Kwanini 😂😂watu mnaokunywaga fanta huwa nawaona kama wachawi tu...🤣
mliozoea burger na sausage mtashangaa parachichi ni kama booster kwenye msosmkuu hilo ni tumbo ama kiwanda cha gesi asilia...🤣
Dah! hata kama unatafuta mume ndo usingizie unakunywa fanta kweli ili tukuone binti mpole...Kwanini 😂😂
Fanta tamu sana aisee ikiwa ya baridiii