Waleo leo..waleo leo.. ukinunua watatu wawili nyongeza!!!!

blackstone

Senior Member
Aug 11, 2015
147
128
4a9279fa31ded6c2de1ffb20362d8e01.jpg
 
Sasa ukisema nije inamaana unataka niondoke Kigoma wakati mie ndo nimefika mwisho wa reli?

Huku sitoki ng'oo. Hiyo migebuka ifate sokoni tuu wala siahidi kukuketea

Ha ha ha, wewe usirudi!

Muda si muda ntakusikia kwenye crush za Al Hassan Mwinyi Road!

Najua ziara ni ya muda tu.
 
Ha ha ha, wewe usirudi!

Muda si muda ntakusikia kwenye crush za Al Hassan Mwinyi Road!

Najua ziara ni ya muda tu.

Hadi wewe. .....!!!!

Najua wengi hawa amini kama Kasie amefika na amefikiswa bin kufikiwa ambako alikuwa hajafikiwa. .... ila ukweli ni kuwa sasa napata burudani lote ulijualo wewe.... yaani baridaaa.
Wanao subiri Kasie arudi kwenye crush na wewe ukiwa mmoja wao. Nakwambia mnakuwa mnasubiri kununua mchele na sukari kwenye malori na maduka na NMC (kama ulikuwa umezaliwa ) kwa maana nyingine mtazeekea kwenye kusubiri au kwenye hiyo foleni maana siku hizi hayo maduka na malori ya NMC hayapo tena.

Ndo imetoka hiyoo ikirudi. .... fyuuuuuu mpaka Narita.
 
Back
Top Bottom