julaibibi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2020
- 2,607
- 3,400
Siku kama ya leo jumatatu toka saa 4:00 mpaka muda huu folen haiendi. Namba zinaitwa za customer care, teller wapo wawili tu.
Kwanin mnakwamisha juhudi za Abdulmajid Nsekela. Sio vizuri bwana mtu unaingia mchana unatoka usiku.sio sawa. Mpaka.muda huu jion teller hawasogei kabisa.
Na wapo wawili tu.
Kwanin mnakwamisha juhudi za Abdulmajid Nsekela. Sio vizuri bwana mtu unaingia mchana unatoka usiku.sio sawa. Mpaka.muda huu jion teller hawasogei kabisa.
Na wapo wawili tu.