Jitu jeusi
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 1,704
- 2,363
Labda ntazipata wapi & lini??Kwa budget yako nakushauri usubirie Redmi 7a, Redmi 7. Zitakuwa ni simu nzuri kwa mid-range segment price.
Pia kama unaweza kunisaidia kujua specifications zake
Labda ntazipata wapi & lini??Kwa budget yako nakushauri usubirie Redmi 7a, Redmi 7. Zitakuwa ni simu nzuri kwa mid-range segment price.
Zinapatikana kwa kuagiza online na inatarajiwa kuwa released March 18.Labda ntazipata wapi & lini??
Pia kama unaweza kunisaidia kujua specifications zake
Mziki upo kwenye kuiship hiyo power bank kaka!!!Mkuu ulikua unatafuta store wanayouza Mi Power bank,leo nimeibamba moja
TZS 35,120.08 | 10000mAh Xiaomi Mi Power Bank 2 External Battery Bank 15W Quick Charge Powerbank 10000 PLM09ZM with Dual USB Output for Phone
US $14.99 |10000mAh Xiaomi Mi Power Bank 2 External Battery Bank 15W Quick Charge Powerbank 10000 PLM09ZM with Dual USB Output for Phone-in Power Bank from Cellphones & Telecommunications on Aliexpress.com | Alibaba Group
Sent using Jamii Forums mobile app
Supplier wa uhakika ni yupi?Zinapatikana kwa kuagiza online na inatarajiwa kuwa released March 18.
CPU: Snapdragon 632 14nm Octa Core Processor
Screen: 6.26 inch Water Drop HD+ Display
OS: Android 9 (Pie) MIUI 10
Storage: 2GB RAM+16GB ROM
Camera: 12MP Rear Dual Camera, 8MP Front Camera
Battery: 4000mAh
Itakuwa around $120-$160
Aliexpress, Gearbest, LightInTheBox, etc.
tatizo inakua ni nini? hawaruhusiwi kutuma au? wakituma kwanni wasiandike puzzle toys?Mziki upo kwenye kuiship hiyo power bank kaka!!!
Watu tumeagiza ila tracking inastuck kwenye "shipment ready for dispatch" utakaa pengine wiki 2 au 3 no updates na ukimwendea hewani seller ndo anakujuza kwamba mzigo umerudishwa so anakupa full refund.
Usipoteze muda boss wacheck wahindi wa Highlife unapata 16000mAh kwa 80k
Yaani ndani waweke pawa benk halafu waandike ni puzzle toy?tatizo inakua ni nini? hawaruhusiwi kutuma au? wakituma kwanni wasiandike puzzle toys?
yes hujaona simu inaandikwa puzzle toys? kukwepa custom fees
Pale posta tea wanafunguayes hujaona simu inaandikwa puzzle toys? kukwepa custom fees
hawafungui kwanni mzigo wao?
Ndio nafanya. Gharama zangu ni kati ya TZS 5000 - TZS 15000 inategemea na item husika.uzi ni wa moto.. mr mobile kwan we unafanya izo ishu za kuagiza , na gharama zako shingap..
Sent using Jamii Forums mobile app
unapatkn wapNdio nafanya. Gharama zangu ni kati ya TZS 5000 - TZS 15000 inategemea na item husika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawaruhusu kubeba high capacity lithium ion battery kwenye ndege !!tatizo inakua ni nini? hawaruhusiwi kutuma au? wakituma kwanni wasiandike puzzle toys?
Karibia sheria zote za anga zimewekwa baada ya kutokea ajali: mwaka 2010 ndege ya Boeing 747 ya mizigo ya shirika la UPS ilibeba shehena takribani 400kg za lithium batteries kwa sababu ya power banks ika catch moto ikiwa angani na ku crash Dubai UAE; baadae ilipita sheria ya kulimit ubebaji wa lithium batteries angani kwa abiria na mizigo.tatizo inakua ni nini? hawaruhusiwi kutuma au? wakituma kwanni wasiandike puzzle toys?
Kodi haikwepeki kwa ku customize jina la item, kama item ipo eligible kwa custom duties utalipia hata kama ni teddy bear.yes hujaona simu inaandikwa puzzle toys? kukwepa custom fees
Daah!! Ningekuwa kama ww ningekuwa tajiri kwakuwa ningejiajili. Kujiajili ndio inshu kiongozMSAADA MSAADA MSAADA MSAADA
Habari za muda huu kwa mara nyingine tena
Natafuta kazi ndugu zangu watanzania wenzangu
Ata kama uta-nidalalia iyo kazi tutaelewana malipo ndugu yangu
naombeni msaada wenu mwenye kuweza kunisaidia, maana nimeshaangaika sana kutafuta kazi ila naambulia patupu
Nimezunguka sana kwenye viwanda, site za ujenzi ila naambuliwa patupu, naombeni msaada wenu, ata kama nitapata kazi ya ku-volunteer tuu, pia ntashukuru sana ndugu zangu...
Maana umri pia unakimbia, nisaidieni sana
Elimu yangu: Degree
Fani: CYBER SECURITY (ULINZI NA USALAMA WA MIUNDOMBINU YA TEKNOLOJIA)
Other Award: Diploma in computer science (SAYANSI YA KOMPUTA)
Na nimekuwa mbobezi katika mambo ya
》Penetration Testing, kutafuta vulnerabilities, kufanya sniffing, exploits & tools, nina uelewa wa kutosha kuhusiana na social engineering
》ku-secure system kwa kutumia linux, DNS, na kwa kutumia cryptography
》ku-secure connectivity kama vile switch, router, firewalls, vpn, ips(intrusion prevention system ) pamoja na ids (intrusion ditectin system) nadhani wataalum watakuwa wamenielewa kwenye ivyo vifupo
》Digital forensics inverstigation (computer pamoja na simu)
》Computer Networking
》 System analysis and design
MSAADA WENU WAUNGWANA
MPAKA NIMEAMUA KUWAANGUKIA NDUGU ZANGU MNISAIDIE UJUE NIMESHAKATA TAMAA, MAANA
KULIKO KULIA PEKE YANGU, NIMEONA NIWALILIE WATANZANIA WENZANGU MNISAIDIE NDUGU ZANGU
NIMESHATAFUTA SANA KAZI, KUANZIA APPLICATION ZA ONLINE, MPAKA MANUALLY
NOTE: KAZI YEYOTE ILE NTAFANYA ATA KAMA NI NJE YA TAALUMA YANGU, NA NTAIFANYA KWA UAMINIFU MKUBWA MNO
MUNGU WABARIKI SANA
NO YANGU: 0755836347
NAPATIKANA: DSM-MBEZI MSAKUZI
NISAMBAZIENI KWENYE MA-GROUP MENGINE NIPATE MSAADA