Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Labda ntazipata wapi & lini??

Pia kama unaweza kunisaidia kujua specifications zake
Zinapatikana kwa kuagiza online na inatarajiwa kuwa released March 18.


CPU: Snapdragon 632 14nm Octa Core Processor
Screen: 6.26 inch Water Drop HD+ Display
OS: Android 9 (Pie) MIUI 10
Storage: 2GB RAM+16GB ROM
Camera: 12MP Rear Dual Camera, 8MP Front Camera
Battery: 4000mAh

Itakuwa around $120-$160
 

Attachments

  • IMG-20190314-WA0002.jpg
    IMG-20190314-WA0002.jpg
    16.2 KB · Views: 38
Mkuu ulikua unatafuta store wanayouza Mi Power bank,leo nimeibamba moja

TZS 35,120.08 | 10000mAh Xiaomi Mi Power Bank 2 External Battery Bank 15W Quick Charge Powerbank 10000 PLM09ZM with Dual USB Output for Phone
US $14.99 |10000mAh Xiaomi Mi Power Bank 2 External Battery Bank 15W Quick Charge Powerbank 10000 PLM09ZM with Dual USB Output for Phone-in Power Bank from Cellphones & Telecommunications on Aliexpress.com | Alibaba Group

Sent using Jamii Forums mobile app
Mziki upo kwenye kuiship hiyo power bank kaka!!!
Watu tumeagiza ila tracking inastuck kwenye "shipment ready for dispatch" utakaa pengine wiki 2 au 3 no updates na ukimwendea hewani seller ndo anakujuza kwamba mzigo umerudishwa so anakupa full refund.
Usipoteze muda boss wacheck wahindi wa Highlife unapata 16000mAh kwa 80k
 
Zinapatikana kwa kuagiza online na inatarajiwa kuwa released March 18.


CPU: Snapdragon 632 14nm Octa Core Processor
Screen: 6.26 inch Water Drop HD+ Display
OS: Android 9 (Pie) MIUI 10
Storage: 2GB RAM+16GB ROM
Camera: 12MP Rear Dual Camera, 8MP Front Camera
Battery: 4000mAh

Itakuwa around $120-$160
Supplier wa uhakika ni yupi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mziki upo kwenye kuiship hiyo power bank kaka!!!
Watu tumeagiza ila tracking inastuck kwenye "shipment ready for dispatch" utakaa pengine wiki 2 au 3 no updates na ukimwendea hewani seller ndo anakujuza kwamba mzigo umerudishwa so anakupa full refund.
Usipoteze muda boss wacheck wahindi wa Highlife unapata 16000mAh kwa 80k
tatizo inakua ni nini? hawaruhusiwi kutuma au? wakituma kwanni wasiandike puzzle toys?
 
tatizo inakua ni nini? hawaruhusiwi kutuma au? wakituma kwanni wasiandike puzzle toys?
Hawaruhusu kubeba high capacity lithium ion battery kwenye ndege !!
Hata Seller wakifanya hayo maujanja jamaa watabaini wakati wa kuscan parcel so wanairudisha ilipotoka.
 
tatizo inakua ni nini? hawaruhusiwi kutuma au? wakituma kwanni wasiandike puzzle toys?
Karibia sheria zote za anga zimewekwa baada ya kutokea ajali: mwaka 2010 ndege ya Boeing 747 ya mizigo ya shirika la UPS ilibeba shehena takribani 400kg za lithium batteries kwa sababu ya power banks ika catch moto ikiwa angani na ku crash Dubai UAE; baadae ilipita sheria ya kulimit ubebaji wa lithium batteries angani kwa abiria na mizigo.

Kuhusu ku customize jina la item kaa ukijua hizi item zikifika kwenye air freight center zinakuwa scanned na x-rays scanner, kwahiyo kinajulikana kilichopo ndani ni nini.
Hii sheria pia inakataza kusafirisha vifaa vyenye lithium battery mf: simu, flash ligh, etc kwenye package moja, ni lazima viwe separated.
 
MSAADA MSAADA MSAADA MSAADA

Habari za muda huu kwa mara nyingine tena

Natafuta kazi ndugu zangu watanzania wenzangu

Ata kama uta-nidalalia iyo kazi tutaelewana malipo ndugu yangu

naombeni msaada wenu mwenye kuweza kunisaidia, maana nimeshaangaika sana kutafuta kazi ila naambulia patupu

Nimezunguka sana kwenye viwanda, site za ujenzi ila naambuliwa patupu, naombeni msaada wenu, ata kama nitapata kazi ya ku-volunteer tuu, pia ntashukuru sana ndugu zangu...

Maana umri pia unakimbia, nisaidieni sana

Elimu yangu: Degree

Fani: CYBER SECURITY (ULINZI NA USALAMA WA MIUNDOMBINU YA TEKNOLOJIA)

Other Award: Diploma in computer science (SAYANSI YA KOMPUTA)

Na nimekuwa mbobezi katika mambo ya

》Penetration Testing, kutafuta vulnerabilities, kufanya sniffing, exploits & tools, nina uelewa wa kutosha kuhusiana na social engineering

》ku-secure system kwa kutumia linux, DNS, na kwa kutumia cryptography

》ku-secure connectivity kama vile switch, router, firewalls, vpn, ips(intrusion prevention system ) pamoja na ids (intrusion ditectin system) nadhani wataalum watakuwa wamenielewa kwenye ivyo vifupo

》Digital forensics inverstigation (computer pamoja na simu)

》Computer Networking

》 System analysis and design

MSAADA WENU WAUNGWANA

MPAKA NIMEAMUA KUWAANGUKIA NDUGU ZANGU MNISAIDIE UJUE NIMESHAKATA TAMAA, MAANA

KULIKO KULIA PEKE YANGU, NIMEONA NIWALILIE WATANZANIA WENZANGU MNISAIDIE NDUGU ZANGU

NIMESHATAFUTA SANA KAZI, KUANZIA APPLICATION ZA ONLINE, MPAKA MANUALLY

NOTE: KAZI YEYOTE ILE NTAFANYA ATA KAMA NI NJE YA TAALUMA YANGU, NA NTAIFANYA KWA UAMINIFU MKUBWA MNO

MUNGU WABARIKI SANA

NO YANGU: 0755836347
NAPATIKANA: DSM-MBEZI MSAKUZI

NISAMBAZIENI KWENYE MA-GROUP MENGINE NIPATE MSAADA
Daah!! Ningekuwa kama ww ningekuwa tajiri kwakuwa ningejiajili. Kujiajili ndio inshu kiongoz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom