NimetumiaNatumia Xiaomi au Redmi 6A hizi simu nibalaa sitatumia tena kampuni yoyote kama sio Xiaomi zina viwango Bora kabisa
KwaniniNimetumia
Redmi 6A
Redmi 7
Redmi 7A
Redmi 8A
Still Redmi 6A ni bora kuliko hizo zote
Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
Mkuu mchakato wako umeendaje usharud bongoMe mwenyewe nauza
Naunga hojaUkitoa samsung nokia na simu kadhaa,zinazobakia ni kalkuleta
UmekaririUkitoa samsung nokia na simu kadhaa,zinazobakia ni kalkuleta
Hamna ndio ukweli wenyewe,embu kiri mwenyewe acha unafikiUmekariri
Unatumia Chinese au Global?Wakuu nna changamoto hapa,
Hili tatizo ni kama mara ya pili linajitokeza kwangu. Ni hivi, unakuta hujafanya chochote kwenye simu maybe ulikua unaangalia movies tu then ukaicha simu. Kama mimi last nite nimeshinda na tiktok then nikaamua kulala. Asubuhi nimeamka naingia WhatsApp nakuta baadhi ya watu nliokua nachat nao jana usiku majina Yao yametokea kama namba (that means the contacts don't exist Kwa phone book yangu). Yaan nikawa na Kazi ya kuzirudisha manually kwa kuangalia profile picture na mpaka sasa sijamaliza. Je, hii inasababishwa na nini na how can I resolve it? Please help
How do you tell?Unatumia Chinese au Global?
Global version inakuja na global ROM, Chinese version inakuja na China ROM.How do you tell?
Samsung display vs mi10Nina Samsung A20 ambayo kwa performance haifikii hata robo Huawei honor 8c, mind you 8c ni Moja ya simu dhaifu Sana kwenye line up ya simu za huawei
The only thing Samsung are good at ni bei za kuruka, surprisingly fanatics wa bei hizo mpo
Hakika amekariri, tena pakubwa mwache hivyo hivyo, natumia redmi note 9S 6GB RAM+128GB ROM iko vizuri.Umekariri
Ndo natumia hiyo 6A hii simu ndogo umbo lakini nishida naikubali sanaNimetumia
Redmi 6A
Redmi 7
Redmi 7A
Redmi 8A
Still Redmi 6A ni bora kuliko hizo zote
Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
Hii ni global ROM mkuu, imekuja na Google playstore preinstalled. Naomba maelekezoGlobal version inakuja na global ROM, Chinese version inakuja na China ROM.
Kwa maana kwamba global ROM inakuja ikiwa na full support ya google services. Yaani ile unanunua inakua tayari na playstore.
Ila Chinese version yenyewe inakua haina Google services (though unaweza kuweka manually). Inakuja na app store ya kichina inaitwa Get Apps.
Kingine pia box la global linakua na label ya global, na limeandikwa English tu.
View attachment 1580330
Wakuu nna changamoto hapa,
Hili tatizo ni kama mara ya pili linajitokeza kwangu. Ni hivi, unakuta hujafanya chochote kwenye simu maybe ulikua unaangalia movies tu then ukaicha simu. Kama mimi last nite nimeshinda na tiktok then nikaamua kulala. Asubuhi nimeamka naingia WhatsApp nakuta baadhi ya watu nliokua nachat nao jana usiku majina Yao yametokea kama namba (that means the contacts don't exist Kwa phone book yangu). Yaan nikawa na Kazi ya kuzirudisha manually kwa kuangalia profile picture na mpaka sasa sijamaliza. Je, hii inasababishwa na nini na how can I resolve it? Please help
Zote ziko ok. Af naaamanishq hata kwenye SMS za kawaida unakuta namba tu bila majinaangalia permissions za app yako ya whatsapp kwenye settings allow zote hilo tatizo linasababishwa na permissions