Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Wakuu nna changamoto hapa,
Hili tatizo ni kama mara ya pili linajitokeza kwangu. Ni hivi, unakuta hujafanya chochote kwenye simu maybe ulikua unaangalia movies tu then ukaicha simu. Kama mimi last nite nimeshinda na tiktok then nikaamua kulala. Asubuhi nimeamka naingia WhatsApp nakuta baadhi ya watu nliokua nachat nao jana usiku majina Yao yametokea kama namba (that means the contacts don't exist Kwa phone book yangu). Yaan nikawa na Kazi ya kuzirudisha manually kwa kuangalia profile picture na mpaka sasa sijamaliza. Je, hii inasababishwa na nini na how can I resolve it? Please help
 
Wakuu nna changamoto hapa,
Hili tatizo ni kama mara ya pili linajitokeza kwangu. Ni hivi, unakuta hujafanya chochote kwenye simu maybe ulikua unaangalia movies tu then ukaicha simu. Kama mimi last nite nimeshinda na tiktok then nikaamua kulala. Asubuhi nimeamka naingia WhatsApp nakuta baadhi ya watu nliokua nachat nao jana usiku majina Yao yametokea kama namba (that means the contacts don't exist Kwa phone book yangu). Yaan nikawa na Kazi ya kuzirudisha manually kwa kuangalia profile picture na mpaka sasa sijamaliza. Je, hii inasababishwa na nini na how can I resolve it? Please help
Unatumia Chinese au Global?
 
How do you tell?
Global version inakuja na global ROM, Chinese version inakuja na China ROM.
Kwa maana kwamba global ROM inakuja ikiwa na full support ya google services. Yaani ile unanunua inakua tayari na playstore.

Ila Chinese version yenyewe inakua haina Google services (though unaweza kuweka manually). Inakuja na app store ya kichina inaitwa Get Apps.

Kingine pia box la global linakua na label ya global, na limeandikwa English tu.
images%20(1).jpg
 
Nina Samsung A20 ambayo kwa performance haifikii hata robo Huawei honor 8c, mind you 8c ni Moja ya simu dhaifu Sana kwenye line up ya simu za huawei
The only thing Samsung are good at ni bei za kuruka, surprisingly fanatics wa bei hizo mpo
Samsung display vs mi10
Screenshot_20200925-124315.jpg
Screenshot_20200925-124549.jpg
 
Global version inakuja na global ROM, Chinese version inakuja na China ROM.
Kwa maana kwamba global ROM inakuja ikiwa na full support ya google services. Yaani ile unanunua inakua tayari na playstore.

Ila Chinese version yenyewe inakua haina Google services (though unaweza kuweka manually). Inakuja na app store ya kichina inaitwa Get Apps.

Kingine pia box la global linakua na label ya global, na limeandikwa English tu.
View attachment 1580330
Hii ni global ROM mkuu, imekuja na Google playstore preinstalled. Naomba maelekezo
 
(SOLD)
redmi note 8
Ram 4gb
Storage 64gb
Camera Kali
Ina wiki
Nataka 400k
Pm
IMG_20200927_085441.jpg
IMG_20200927_085558.jpg
IMG_20200927_090305.jpg
IMG_20200927_090513.jpg
 
angalia permissions za app yako ya whatsapp kwenye settings allow zote hilo tatizo linasababishwa na permissions
Wakuu nna changamoto hapa,
Hili tatizo ni kama mara ya pili linajitokeza kwangu. Ni hivi, unakuta hujafanya chochote kwenye simu maybe ulikua unaangalia movies tu then ukaicha simu. Kama mimi last nite nimeshinda na tiktok then nikaamua kulala. Asubuhi nimeamka naingia WhatsApp nakuta baadhi ya watu nliokua nachat nao jana usiku majina Yao yametokea kama namba (that means the contacts don't exist Kwa phone book yangu). Yaan nikawa na Kazi ya kuzirudisha manually kwa kuangalia profile picture na mpaka sasa sijamaliza. Je, hii inasababishwa na nini na how can I resolve it? Please help
 
40 Reactions
Reply
Back
Top Bottom