mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,468
- 36,841
Zote ziko ok. Af naaamanishq hata kwenye SMS za kawaida unakuta namba tu bila majina
nilikuwa na sony kama mwezi hivi umepita lilikuwa ndio tatizo lake.
sijawahi kujua shida ni nini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zote ziko ok. Af naaamanishq hata kwenye SMS za kawaida unakuta namba tu bila majina
Ulifanikiwa kuresolve mkuu?nilikuwa na sony kama mwezi hivi umepita lilikuwa ndio tatizo lake.
sijawahi kujua shida ni nini.
Ulifanikiwa kuresolve mkuu?
Redmi 9A
32gb, 2gb RAM
Bei ya kuuza 250,000
Napatikana Kariakoo DSM
Contact 0625 54 77 67 View attachment 1597664View attachment 1597665View attachment 1597667View attachment 1597666
Redmi 9A
32gb, 2gb RAM
Bei ya kuuza 250,000
Napatikana Kariakoo DSM
Contact 0625 54 77 67 View attachment 1597664View attachment 1597665View attachment 1597667View attachment 1597666
Redmi 9A
32gb, 2gb RAM
Bei ya kuuza 250,000
Napatikana Kariakoo DSM
Contact 0625 54 77 67 View attachment 1597664View attachment 1597665View attachment 1597667View attachment 1597666
Nenda call setting incoming/outgoing call kuna sehem inasema proximity sensor weka off nusu niiuze simu yanguWakuu hii Xiaomi redmi note 8 pro yangu sasa hivi inaleta shida. Ni hivi, nikiwa na make a call mtu akipokea tu automatically inajiturn off screen so napata shida yaan hadi maongezi yaishe. Sasa kama nataka kuplace another call nifanye conference call inakua changamoto. Naomba msaada wa kudisable hii feature ili hata nikiwa naongea na simu screen ibaki on. Natanguliza shukrani
Hayo ni mapenzi yako tu, kwangu samsung anamuuongoza tecno na infinix tu wengine hawafikii ama kwako ndo simu ulizowahi tumiaUkitoa samsung nokia na simu kadhaa,zinazobakia ni kalkuleta
2018 laki 6?Google Pixel 3a brand new inauzwa
32 gb, ram 4 Gb
Android 11
Best camera phone 2018
600k
piga 0682521021View attachment 1582838View attachment 1582839View attachment 1582840View attachment 1582841
Hayo ni mapenzi yako tu, kwangu samsung anamuuongoza tecno na infinix tu wengine hawafikii ama kwako ndo simu ulizowahi tumia
Sent from my MI PLAY using JamiiForums mobile app
Kweli, mwenyewe nimenunua redmi 8. Sijutii, kuna sehemu unaset screen inakuwa kama super amoled. Safi sanaSimu za xiaomi ni bora sana..natumia redmi 8a iko poa sana..
Mkuu nahitaji hii simu itanigharimu shs ngapi?? na kwa hapa bongo naweza kuipata katika duka lipi??Redmi note 9S 6GBRAM+128GB ROM, snapdragon 720G, 5020 mah, 48MP rear camera. Mkuu ushawahi muagizia mtu?
Nimecheki review yake inaonekana iko far much better.
Njoo na 670k tufanye biashara mkuu. Duka lipo Aggrey kariakoo Contact 0625547767Mkuu nahitaji hii simu itanigharimu shs ngapi?? na kwa hapa bongo naweza kuipata katika duka lipi??
Njoo na 670k tufanye biashara mkuu. Duka lipo Aggrey kariakoo Contact 0625547767
Agiza mkuu au muagizie.. Mimi nafanya biashara mkuu, not charity.
Kwa hapa Tz sina taarifa ya kutosha zinakopatina, hua nasoma comment za baadhi ya member wanasema kuna maduka wanauza. Mimi niliagiza online Aliexpress.Mkuu nahitaji hii simu itanigharimu shs ngapi?? na kwa hapa bongo naweza kuipata katika duka lipi??
Nadhani hii ni ile ya 64GB ROM +4GB RAM
64/128GB manake haya RAM zitaenda hivyohivyoNadhani hii ni ile ya 64GB ROM +4GB RAM