Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,195
- 4,551
- Thread starter
- #5,541
Umeshinda mdogo wangu Mkojo wa Ngedere
Umeshinda mdogo wangu Mkojo wa Ngedere
Asante kiongoziWakati mwingine kukaa kimya ni jibu zuri sana kwa watu kama hawa.
Naomba nitajie hizo Tws boss.Hongera kwa kuleta mzigo Mpya, bei pia ni reasonable Sana kwa mteja, Haylou ni nzuri sana deep bass, overall sound signature sio mbaya pia
Shida yake tu kwanza ni nzito masikioni, ukizitumia kwa muda mrefu utakapo zivua bado utahisi kama kuna zigo sikioni !!
Shida ya pili ni hazina volume control yani zinategemea source software sound control
Tws kwa sasa haziepukiki mana ndo game ya mjini, hasa kwa sisi Ma audiophiles pori, nina decent wired headphones, lakini kupata simu yenye drivers za kulifanya itoe sauti nzuri ni mtihani, simu nyingi hazina kipaumbele kwenye sound drivers, ila ukipata Tws unakuwa umemaliza tatizo
Ila ukimaliza huo mzigo wako nistue nukuelekeze Tws za kununua na uta kimbiza mbaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnhuuu labda iwe mbovu.
Aisee!!
Boss bado mnasongesha?Mnhuuu labda iwe mbovu.
Jaribu kuyajenga na Mr. Mobile
Kwa sh ngapi naweza pata isizid basi 350KMnhuuu labda iwe mbovu.
Jaribu kuyajenga na Mr. Mobile akuagizie used.
Kibongo bongo kwa hiyo bei, sidhani.
hip pesa unapata simu nzuri sana sana ya xiaomi ila storage itakua 32 gb hasa ukiongeza kidogo about 40 unaweza pata 64 .
Mkuu unayohip pesa unapata simu nzuri sana sana ya xiaomi ila storage itakua 32 gb hasa ukiongeza kidogo about 40 unaweza pata 64 .
Athari hazikosekani mkuu hasa delaying kwenye ku ship mizigo ukijumlisha na mapumziko ya festival zao.Boss bado mnasongesha?
Maana nipo Kenya huku so sijaagiza kitambo.
je Corona haijaathiri michakato?
Yes
Kwa wenye hela zenu mie hio ni pesa ya mifuko mia ya simenti kwa dangote na usafiri bure.Xiaomi note 10 ndio habari ya mjini.
Kuna mkubwa wake..Xiaomi mi note 10 Pro na ipp launched tangu november!Xiaomi note 10 ndio habari ya mjini.