Peter Mabala
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 1,212
- 1,642
Karibu.
Naona hii familia inazidi kukua tu
Naona hii familia inazidi kukua tu
Unavyotumia pesa ndivyo unavyojaaliwa kupata akili ya kusaka nyingine zaidi...! Sio unatunza pesa bank hazina faida kwako ila unafaidisha wenye bank , Tumia pesa kwa mambo unayotamani kuwa nayo ili roho yako itakate hayo ndo matumizi ya pesa sio unajinyima mpaka roho inanyong'onyea hadi unajionea huruma,,,, Mwishoe unaugua bure kwa msongo wa mawazo...
Unieleweshe! Maana ake nini au ndo siku 60 za protection zinaisha ni open dispute.. View attachment 1271821View attachment 1271823
Itaje ipi iyo!?Ungekuwa mvumilivu kwa hii pesa ungekuwa na simu yenye spec. Kali mkuu.
But enjoy. Ndio matumizi ya pesa
Wewe ndo umenielewa tofauti na umejibu tofauti pia na nilichomaanisha...! Istoshe nipo katika jokes tu..Umejibu tofauti na jamaa alivyomaanisha
Nazani SangaweJr alimaanisha kama jamaa angekaza moyo , basi kwa pesa hiyohiyo angepata simu iliyobora zaidi, endapo angeagiza online
Me sijaopen dispute na sijawahi! Mzigo wenyewe wa $2 niopen dispute siku utakapofikia tu sawa sina haraka nao..Muda unaelekea kwisha, lakin hata ukiisha huna haja ya kufungua dispute kwakuwa mzigo utafika tu. Ushapakiwa kwenye ndege tatizo njia uliotumia huwa inakawia itabidi usubirie zaidi. Wasiliana na seller siku zikiisha kabla ya dispute.
Hizi dispute zenu tena za sh. 2000 zinafanya sellers wengi wasi opt kutuma mizigo huku kwetu
Ngoja nijipange nihamie hukuKaribu.
Wameona Parcel zimekuwa nyingi ghafla kwaiyo waiikosee fursa wameamua kupita na 2300/=
Kodi Walikupiga Shingapi mkuu
Duka liko maeneo gani?Huyu mnyama nimemchukua kariakoo ila bei ndefu kidogo tofauti na kuagiza online
View attachment 1270338
Ni kuanzia tarehe 29 mwezi huu mpaka tarehe ngapi?Tujiandae na BLACK FRIDAY.
Wakuu huyu seller 'Xiaomi Mi store' anaaminika au na yeye haeleweki kama Mi France
VodacomUtofauti wa bei sio mkubwa kivile
Hapana....nimeorder simu nyingine baada ya seller wa Xiaomi kuzingua...nadhani itafika baada ya wiki ijayoHabari ndugu
Vipi uliorder mi 9t?
Kwa seller gani
Hapana....nimeorder simu nyingine baada ya seller wa Xiaomi kuzingua...nadhani itafika baada ya wiki ijayo
Mnyama redmi note 8 lazima ahusike kwenye hii ofaTujiandae na BLACK FRIDAY.
Mbona kwenye orodha AliExpress haipo?
kutakuq na punguzo kwa kuweka code pia usd 100 kushuka utapata ofa ya dola 10, usd 150 kupanda utapata punguzo la usd 15, kama code hujui nijulisheUtofauti wa bei sio mkubwa kivile
Mkuu em nipe hayo maujanja aiseekutakuq na punguzo kwa kuweka code pia usd 100 kushuka utapata ofa ya dola 10, usd 150 kupanda utapata punguzo la usd 15, kama code hujui nijulishe