Emery Paper
JF-Expert Member
- Jun 1, 2019
- 1,429
- 2,713
Sawa Masanja. Umeangalia ID uliyotumia kucomment nayo hapa ,?Utaelewa tu mpaka siku nazikwa mnikumbuke kwa huu uzi mtoto wa Mzee kilangi mie jamani
Sawa Masanja. Umeangalia ID uliyotumia kucomment nayo hapa ,?Utaelewa tu mpaka siku nazikwa mnikumbuke kwa huu uzi mtoto wa Mzee kilangi mie jamani
Sawa Masanja. Umeangalia ID uliyotumia kucomment nayo hapa ,?
Yenye amoled ipi mkuuTatizo haina Amoled
Polee sanaHuyu mnyama nimemchukua kariakoo ila bei ndefu kidogo tofauti na kuagiza online
View attachment 1270338
You guys mnenifurahisha mlivyojibizana, na hivi ndivyo ambavyo real gentleman wanapaswa kua. Nyuzi nyingine pangewaka moto, mbarikiwe kwa hekima na busara zenu wakuu.Pamoja mkuu kimsingi nilikuwa nimechoka tu si kingine, ahsante kwa maneno ya hekima...by they nikutakie jpili njema
Asante mkuuPolee sana
Hatari mkuuuUkiiwekea na gcam inakuwa tamu sana, inaweza ikakupatia mchumba ghafla . Joking
Kodi Walikupiga Shingapi mkuupicha ya boksi ime pigwa na tecno pop2 msije nikaba wazee na ivo vichenga chenga
Mkuu bei gani hii kwa seller aliekuuzia nimeipendaaInategemea na matumizi yako, ila kwa mimi niliona hainifai , nikaamua nijikaze kwa mi 9t pop up camera View attachment 1269133
iyo kulipa 2300 inatokana na kutojaza sanduku la posta lilioko active ndo utalipia iyo elfu mbili lakini ukijaza ilio active unachukua izo parcel ndogo zisizo na mambo ya custom bure kabisa
Hata za wilayan zimeamza huo utaratbu..mimi juz ndio nimekutana na huo utaratbu wa 2300,mwanzo nilikua namwagika tu bureeHii tozo na dhani ni kwa posta za wilayani. Maana mimi ninatumia box na lipo active lakini nalipia 2350.
Huyu mnyama nimemchukua kariakoo ila bei ndefu kidogo tofauti na kuagiza online
View attachment 1270338
Mkuu bei gani hii kwa seller aliekuuzia nimeipendaa
Hata za wilayan zimeamza huo utaratbu..mimi juz ndio nimekutana na huo utaratbu wa 2300,mwanzo nilikua namwagika tu buree
Bei gani mkuu kwa hapa nyumbani?
Ungekuwa mvumilivu kwa hii pesa ungekuwa na simu yenye spec. Kali mkuu.Mi nimechukua 570,
Unavyotumia pesa ndivyo unavyojaaliwa kupata akili ya kusaka nyingine zaidi...! Sio unatunza pesa bank hazina faida kwako ila unafaidisha wenye bank , Tumia pesa kwa mambo unayotamani kuwa nayo ili roho yako itakate hayo ndo matumizi ya pesa sio unajinyima mpaka roho inanyong'onyea hadi unajionea huruma,,,, Mwishoe unaugua bure kwa msongo wa mawazo...Ungekuwa mvumilivu kwa hii pesa ungekuwa na simu yenye spec. Kali mkuu.
But enjoy. Ndio matumizi ya pesa