Mbona
mbona hutoi jibu kama kiswali cha kototo
Hesabu inamachagulio kama mtihani wa lasaba mkuu kweli ni yakuumiza kichwa hapoMbona
mbona hutoi jibu kama kiswali cha kototo
Hapa ukitumia ile calculator inayokuja by default na smartphone jibu utapata 9 lkn ukitumia scientific calculator(Au app yyt ya scientific calculator) jibu utapewa 1.Toa jibu lako wewe mwana hisabati
View attachment 1052160
Hapa ukitumia ile calculator inayokuja by default na smartphone jibu utapata 9 lkn ukitumia scientific calculator(Au app yyt ya scientific calculator) jibu utapewa 1.
Hii tofauti inatokana na operator precedence mechanism zinazotumiwa hapo coz kuna mwaka fln hv BODMAS iliboreshwa na ikatengenezwa version mpya ya sheria ya kuongoza kufanya hesabu kama hizo. Sasa system zilizokuwepo kabla ya BODMAS kuboreshwa zitatumia old BODMAS na kukupa 9 kama jibu. Lkn systems zilizoadopt hiovrule mpya ya BODMAS zitakupa 1