- kANA -
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 4,088
- 10,552
Nashukuru umeelewa.Asante sana... Nimejikuta najiona mpumbavu, sikuwa makini kwenye kuchangia.... Isingewezekana kitu kikubwa kama hicho taarifa zake za siri awe nazo mtu mmoja tuu...
Kuna lose ends nyingi zinazohitaji clarification
Jr![]()
Yani hapo BITCOIN ni mfano wa Mpesa, mteja mmoja wa vodacom kufa na password yake ya Mpesa ikiwa na hela haiwaathiri chochote wateja wengine.
Sifanyi Bitcoin, na naamini ipo siku Bitcoin itaanguka. Ila sio kwa style hii wanayoiongelea wabongo bila research. Eti mtu anafananisha bitcoin na D9, like serious? no research no right to speak!
- KANA -


