Wale tunaotumia mitambo ya solar ya Mobisol tukutane hapa

moudytz

Senior Member
Sep 10, 2017
150
180
Wakuu wale tunaotumia mitambo ya Mobisol naomba tuelezane changamoto za hii mitambo ya solar.

Mimi nina mwaka na nusu natumia mtambo wa 120 watts ila mahitaji hayaendani na maneno yao ya mwanzo wanapo kuuzia na ukiwapigia simu kuhusu changamoto unazo kabiliana nazo wanakupa sababu za hovyo.
 
Shida yako nn boss. Be specific
Mtambo haujai halafu kingine kimsingi solar huanza kujaza charger muda jua linapochomoza na kustop kujaza charge jua linapozama.

Ila kwangu mimi ni tofauti ambako controller ya mtambo inaonesha mtambo unapeleka mpaka saa 3 usiku hapo shida itakuwa nini
kazi ya controller ni pamoja kukuongoza wewe mtumiaji battery lina chaji kiasi gani ili uanze matumizi.
 
wakuu wale tunao tumia mitambo ya mobisol naomba tuelezane changamoto za hii mitambo ya sola
mimi nina mwaka na nusu natumia mtambo wa 120watts ila mahitaji haya endani na maneno yao ya mwanzo wanapo kuuzia na ukiwapigia simu kuhusu changamoto unazo kabiliana nazo wana kupa sababu za hovyo
Umeme wao ni wa uhakika usiku kucha au ni magumashi?
 
Umeme wao ni wa uhakika usiku kucha au ni magumashi?
Kuna sehemu nimejenga umeme haujafika KIBAHA natumia sola ya Zola Ina Tv 32" radio subwoofer, taa 10 sehemu ya kuchaji simu na taa
Hivi sasa ni mwaka 3 haina shida yoyote hata mvua inyeshe mawingu yashinde hakuna shida
 
Kuna sehemu nimejenga umeme haujafika KIBAHA natumia sola ya Zola Ina Tv 32" radio subwoofer, taa 10 sehemu ya kuchaji simu na taa
Hivi sasa ni mwaka 3 haina shida yoyote hata mvua inyeshe mawingu yashinde hakuna shida
Shukran mkuu...tv inaonyesha muda mwingi au unatazama kwa mitego kulingana na nguvu ya umeme huo?
 
Umeme wao ni wa uhakika usiku kucha au ni magumashi?
hawa jamaa wasanii sana pindi unapoelekea kumaliza mkataba wao mm mwanzoni ilikuwa poa 2 ila saiv nikiwasha tv (32) ata masa mawili haya ishi una lala giza na nikiwapigia simu wananiambia stop kufanya matumizi mtambo wako haujajaa na saiv nina wiki ya pili sija charge ata simu ila leo nawasha tv ata masaa 2 hayajaisha wanani2mia massage mtambo haujajaa acha kufanya matumiz
me naona wananifanyia usanii mkataba uishe nikanunue vifaa vingine
 
hawa jamaa wasanii sana pindi unapoelekea kumaliza mkataba wao mm mwanzoni ilikuwa poa 2 ila saiv nikiwasha tv (32) ata masa mawili haya ishi una lala giza na nikiwapigia simu wananiambia stop kufanya matumizi mtambo wako haujajaa na saiv nina wiki ya pili sija charge ata simu ila leo nawasha tv ata masaa 2 hayajaisha wanani2mia massage mtambo haujajaa acha kufanya matumiz
me naona wananifanyia usanii mkataba uishe nikanunue vifaa vingine
Mimi wangu ulisumbua kidogo nikawafata wakanibadilishia battery upo vizuri mno
 
Japo siwafaham hao ila natumia solar betry ya Deja N200 na panel ya w100,, nimefunga mwenyewe, shangwe ninayopata sijutii. Huu mwaka wa 3
 
kwann battery liwe kubwa panel ndogo mkuu hiyo ni sahihi kitalaam
Japo siwafaham hao ila natumia solar betry ya Deja N200 na panel ya w100,, nimefunga mwenyewe, shangwe ninayopata sijutii. Huu mwaka wa 3
 
Msihangaike na hawa.
Kuna namna ya kufanya unatumia free all time
Hakuna kulipia
 
mtambo wako ni watts ngp mkuu na una tumia kwa mtumizi gani na kwa muda gani
Mkuu sijui ni watts ngapi ila kiukweli naona umesaidia sana na mimi siishi huko ila muda mwingi nikienda nakuta wanaangalia Tv au movie
Matumizi
1.Taa usiku
2.tv na radio
3.kuchaji simu
4.pasi ya nguo
5.brander
 
hawa jamaa wasanii sana pindi unapoelekea kumaliza mkataba wao mm mwanzoni ilikuwa poa 2 ila saiv nikiwasha tv (32) ata masa mawili haya ishi una lala giza na nikiwapigia simu wananiambia stop kufanya matumizi mtambo wako haujajaa na saiv nina wiki ya pili sija charge ata simu ila leo nawasha tv ata masaa 2 hayajaisha wanani2mia massage mtambo haujajaa acha kufanya matumiz
me naona wananifanyia usanii mkataba uishe nikanunue vifaa vingine
Kumbe ni wapumbavu hivi!
 
Back
Top Bottom