Paprika Lin nije kutoa posaSio sumu bana
Mi ntamlambisha tu kama ni msumbufu kuacha
Paprika Lin nije kutoa posaSio sumu bana
Mi ntamlambisha tu kama ni msumbufu kuacha
HaaaaaaUshachelewa!!!
Mimi Paprika wa bigmind
Vipi mzee kashaanza kuzengea zengea?Wadau, nataka dogo aache kunyonya mara moja, mbinu gani itumike?
Muache mtoto apate raha
UmeanzaKwa watoto wengine ile ni starehe kama kugegedana kuacha ni mbinde
Nasoma huku nanyonyesha AF weweTena huwa wananyonya huku wanarusha rusha tu miguu huku na huko kuashiria mzuka wanaopataga sio wa dunia hii na ndo ujue mungu sio wa mchezo mchezo....
NimechekaaaSio lazima umkwaze. Cha kwanza muamishe usiwe unalala nae Kama upo Karibu Na bibi YAKE unamuacha uko wiki moja tu au mbili , au ataria watambeleza ataamka atasikia njaa atakula Na Kama kuna watoto wenzie anacheza nao pamoja baada ya wiki au mbili unaenda kumchukua huku nyonyo umeifunika Na bandegi akiona anaogopa unamwambia dudu hii ah basi mmeachana kwa AMANI. Naushari mnyonyeshe hadi miaka miwili sio vizuri kumuachisha mapema.
Kata mdomo kama kuku
Vipi mzee kashaanza kuzengea zengea?
.
Mkuu nimeangalia DOGO hapa anavyonyonya akirusha miguu na kushikilia titi jingine imebidi tu nichekeeeeTena huwa wananyonya huku wanarusha rusha tu miguu huku na huko kuashiria mzuka wanaopataga sio wa dunia hii na ndo ujue mungu sio wa mchezo mchezo....
Ndio ivo mkuu mungu ni fundi mzuri....Mkuu nimeangalia DOGO hapa anavyonyonya akirusha miguu na kushikilia titi jingine imebidi tu nichekeeee
Uuurghhhh!!! si utakuwa unabugia maziwaKwani mtoto akiwa ananyonya Mzee haruhusiwi?
Uuurghhhh!!! si utakuwa unabugia maziwa