TUTUO
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,253
- 2,023
We kweli Bashite yani unasema simu ina kila kitu unaipata kwa laki 7 wakati hzo zenu za misifa ikiwa na kila kitu unaipata kwa 1m na kuendelea halafu unaponda haya endelea kununua jinaElfu ishirini unapata tecno,na simu zao za bei hazizidi laki 7 hata itoke leo na iwe na kila kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app