Sijawahi kutumia Nokia for the last 10yrs. Ukikutana na watu wengi wenye hizo samsung s567biphoneunakuta zina cracks kama hicho unachhongea ni kweli, zisingekuwa na nyufa. Hamna smartphone yenye kioo kigumu,ukiangusha unapasua kioo unless uweke glass protector ambayo simu yoyote unaweka.Itakuwa umemiliki jamii ya lumia 620 wewe, maana hiyo ndo nimeshapasua zaidi ya mara 4 mpaka nimempa dogo anatumia, baada ya hapo simu zote ninazomiliki sijawahi pasua kioo, maana mimi ndo tatizo langu lilipo kulingana na kazi zangu huwa sikawii kuvunja glass
Edit hapo
Mbona mashoga simu zao zinajulikana mtafute shoga yoyote muulize anapenda simu gani utasikia SamsungMwanaume wa ukweli kamwe hatumii tecno
Wengi wananunua simu kwa maonyesho tu simu kubwa ujui hata kuitumia kikamilifu arafu unajisifia bora tecno inazidi kukua sikuzoteHumu asietumia Tecno anatumia Iphone au S6,7,8
Kwa wewe mwanamke tumia Samsung zina maumbo ya kike ndo mana mashoga dunia nzima wanazipenda
Una tatizo la akili basiYaani siipendi siipendi siipendi!!
Ukiniuliza sababu ntashindwa kujibu maana sina sababu yoyote ya kutoipenda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sababu inayokusumbua mm naijua na utazidi kuichukia tecno .sababu ni uwezo mkuwa iliyonayo kwa bei ya chini .fikiria MTU unanunua simu la mil unakutana na mwenye tecno la laki 3 ila imeizidi yako ya mil kwenye kamera lazima uichukie tecnoYaani siipendi siipendi siipendi!!
Ukiniuliza sababu ntashindwa kujibu maana sina sababu yoyote ya kutoipenda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ohoo hizo za kinadada tena mashangingiVipi huawei
Hao ndo wale wanatamani hata mzungu awapengee kamasi wapate cha kusimulia "nimegusa kamasi za mzungu bwana" stupid mankiUnafaidika nini kutumia simu ilio kwenye top ten duniani?
Mkuu, kuhusu ugumu wa kioo sikumaanisha haipasuki,..inapasuka lakini sio kirahisi kama TECNO ambayo ikiclack kidogo tu na tachi haifanyi kaziSijawahi kutumia Nokia for the last 10yrs. Ukikutana na watu wengi wenye hizo samsung s567biphoneunakuta zina cracks kama hicho unachhongea ni kweli, zisingekuwa na nyufa. Hamna smartphone yenye kioo kigumu,ukiangusha unapasua kioo unless uweke glass protector ambayo simu yoyote unaweka.
Hahahah mim ndo natumia ila ni manager utaniambia nin sasa mkuuMimi mwanaume akitumia Tecno heshima yake inashuka
Manager wa bar???