RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,487
- 135,429
Tunatumia Tecno tunadharauliwa sana humu, eti simu hazina kiwango hazitambuliki kimataifa!
Kumbe Tecno jina kubwa hadi UK zipo,hapa nimeambatanisha tangazo kwenye mechi ya Premier League jijini Manchester, Etihad Stadium Tecno inatesa...
I love my Tecno Woreva....
Kumbe Tecno jina kubwa hadi UK zipo,hapa nimeambatanisha tangazo kwenye mechi ya Premier League jijini Manchester, Etihad Stadium Tecno inatesa...
I love my Tecno Woreva....