Kichangiri
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 331
- 680
😂😂😂 hapo kwenye Arguing mm nimezaliwa May na ninawanangu 3 wote tumezaliwa May usiombe utukute tukiwa kwenye hayo mambo ni vurugu tupu.
Yaan kwahili sibishi kabisa mm na wanangu tupo hivyo ngoja tuone kama kunawengine wanakubaliana na mm waliozaliwa May.
😋😋😋 nakula kwa macho. 👀Wala bata njooni mtoe hangover😅View attachment 1343091
Hahahaha!😋😋😋 nakula kwa macho. 👀
Tuoneane huruma jamani, tunao umia nisie tupunguzie kidogo makali gal 😊 maana kama hii ni Feb hv mpaka kufika Dec tutakuwa tumeshika adabu kwakweli. 😂Hahahaha!
😂😂😂 dah nimecheka sana, kweli tutaelewana kidogo kidogo 😂😂😂😂.
Kama mambo ni hv! baadaye ukiambiwa unakibamia wala usikasilike kabisa. 😂😂😂
