Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,894
- 52,484
Nimekwama Gairo
Nimekwama Gairo
Sawa naendaKuna gest hapo inaitwa Nike kajitambulishe utahudumiwa vema... Iko stand...
Jr[emoji769]
Acha kabisa kuna clip nimeiyona watu wakiwa wanashuka kutoka kwenye ndege China wanapuliziwa dawa mwili mzima.Wanapitia kipindi kigumu.. Hata bata la denda limekuwa adimu[emoji30][emoji30][emoji30]watu wanaenda chukuchuku na vifuniko midomoni
Jr[emoji769]
we mzee kula bata kunahusiana vipi nakifo hapo? tunajua tutakufa tu muda wowote bata linaliwa na huku tunajianda na kifo vilevile.
kweli naona inawezekana account yako ilihakiwa mzee wangu [emoji23][emoji23][emoji23]Sio post yangu kaka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jr[emoji769]