Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,844
- 52,251
Nimekwama Gairo
Nimekwama Gairo
Sawa naendaKuna gest hapo inaitwa Nike kajitambulishe utahudumiwa vema... Iko stand...
Jr![]()
Acha kabisa kuna clip nimeiyona watu wakiwa wanashuka kutoka kwenye ndege China wanapuliziwa dawa mwili mzima.Wanapitia kipindi kigumu.. Hata bata la denda limekuwa adimuwatu wanaenda chukuchuku na vifuniko midomoni
Jr![]()
we mzee kula bata kunahusiana vipi nakifo hapo? tunajua tutakufa tu muda wowote bata linaliwa na huku tunajianda na kifo vilevile.
kweli naona inawezekana account yako ilihakiwa mzee wanguSio post yangu kaka
Jr![]()













