Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Huna jeuri ya kujiuzuru...nashangaa, eti mie Newala afu swir Nyamagana, lol sikubali.
Nitajiuzuru kama wa Mbozi.
Kwanza kakosea...ngoja abadili
Huna jeuri ya kujiuzuru...nashangaa, eti mie Newala afu swir Nyamagana, lol sikubali.
Nitajiuzuru kama wa Mbozi.
Nipe HAI. . .huko ndo kwetu, siwezi peleka maendeleo kwingine.
nashangaa, eti mie Newala afu swir Nyamagana, lol sikubali.
Nitajiuzuru kama wa Mbozi.
Du,nimesahaulika!Mahakamani fasta!
Nicas Mtei popote ulipo kunywa ndovu 6 kwa bili yangu...hamna uteuzi ulionibariki kama huu...wakazi wa kinondoni mkae mkao wa kula...sijui nianze kuboresha kipi...foleni?...uchache wa bar?...vituo vya madada poa?...uuzaji wa viwanja?...nina mengi ya kuwafanyia ndugu zangu wa kino.
Nadhani mkuu anateua kwa awamu, wilaya kibao hajaweka watu, ila mimi kaninong,oneza kuwa kaniteua ukuu wa mkoa mmoja maarufu sana
Wee mkata majani wa kwa mkuu wa wilaya.
mi nimejiuzulu kabla ya kuteuliwa
naomba nikawe mkata majani kwa mkuu wa wilaya wa kike tena asiwe mbibi.
naomba nikawe mkata majani kwa mkuu wa wilaya wa kike tena asiwe mbibi.
Mkuu nani anavujisha siri kabla hujateua?Ulijua toka mwanzo kuwa hautateuliwa.
Nimeona ubaki Kilimanjaro hyohyo kutokana na uzoefu wako. Siha na Moshi mjini si mbali.